Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Hakuna cha teuzi tupo hapa,ccm inakupenda ili ikuharibieWe we ndiyo unaropoka subirini huruma sasa na ukuu wa wilaya. Hakuna mtu atawaamini wakatwa mikia
Hakuna cha teuzi tupo hapa,ccm inakupenda ili ikuharibieWe we ndiyo unaropoka subirini huruma sasa na ukuu wa wilaya. Hakuna mtu atawaamini wakatwa mikia
Benson Mramba, naona umejionea mwenyewe Ccm inawenyewe.
Mwisho hivi vyama vinaendeshwa na Binadamu wenye mapungufu kwahiyo tuvumiliane Kiongozi.
Nazani umeona makamanda waliounga juhudi walivyofanywa na kupotezwa kwenye Ramani ya siasa.
Rudi nyumbani. Upinzani ndiyo sehemu ya Vijana kutoka kirahisi kwenye siasa.
Mbowe anamapungufu kama ilivyo kwa Magufuli na ndiyo Ubinadamu wenyewe.
Kigamboni ni funzo tosha,Ile hamu ya kuongeza mda imekufa natural death Nkamia kapigwa spana,sijapata matokeo ya KessyMkuu Benson Mramba karibu nyumbani chadema...tugange yajayo mkuu...ccm ina wenyewe nadhani hata magufuri amejifunza kitu kupitia hzo kura za maoni
Mimi natoa maoni yangu kama wewe ulivyotoa yakoBaada ya kuona huna nafasi ccm hii awamu hata nafasi ya uteuzi umeona afadhali ujipendekeze tena upinzani
Na maoni yako umetoa wakati umekosa kila upandeMimi natoa maoni yangu kama wewe ulivyotoa yako
Nae spanaKigamboni ni funzo tosha,Ile hamu ya kuongeza mda imekufa natural death Nkamia kapigwa spana,sijapata matokeo ya Kessy
Sijaiona hiyo likeKwa mara ya kwanza nakupa like leo maana naona akili zimekurudia
Steve Nyerere kawapaka shombo wajumbe huyu dogo adhibitiwe, hivi mtu hujui mitaa ya jimboni kwako huna makazi huna mke huna kwenu watakuaminije? Msibani hujawahi onekana watakuchaguaje haka kapumbavu Steve Nyerere mkadhibiti mapemaWajumbe wameipa ccm wakati mgumu sana, hawataki mabadiriko kabisa.
Safi Sana wabunge wa hovyo hovyo wanaongea utumbo tupu waliolifanya bunge likose heshima na kudharaulika wajumbe Mungu awabariki kabisa.Nae spana
Inabidi ianzishwe kampeni ya back to the root
Binafsi nimeshtushwa sana na matokeo ya kura za maoni za CCM kuanzia Udiwani wa Kata hadi Ubunge. Kwa ujumla ni kuwa kila ambalo Mwenyekiti (Rais) aliloonyesha kulitaka au kulitamani Wajumbe wamelipinga kwa nguvu.
1. Wanachama wote wa vyama vya upinzani ambao hawana asili na CCM wameshindwa kura za maoni.
2. WanaCCM wengi ambao Rais amekuwa akionyesha kuwaunga mkono wameshindwa vibaya Mfano Makonda na Mwakyembe
3. WanaCCM ambao Rais ameonyesha kuwakosoa na kuwaponda hadharani wameshinda kwa kishindo mfano Mrisho Gambo na Ndugulile.
Hizi ni salamu nzito kwamba Mwenyekiti anafikiria tofauti na viongozi wa Chini na Wanachama! Angalia Kinana alivyoshangiliwa Dodoma kwenye mkutano Mkuu!
Kinana anasema hakuna Uchaguzi rahisi kwasababu kura ziko kwenye mioyo ya watu! Sasa Rais awe makini na jinsi atavyowahandle wapinzani wake kwenye uchaguzi Mkuu maana wananchi wanahasira ya kukosa Bunge Live na kuzuiliwa kwa shughuli za kisiasa.
Kesho Lissu anarudi kama ni kweli! Busara aliyoitumia Kikwete kwa Lowassa kumpa nafasi bila kutumia polisi ndio kwa mtazamo wangu inapaswa kutumika kesho.
Lissu alindwe aachwe aropoke atakavyo asaidiwe afanye kampeni zake ajibiwe kwa hoja! Nguvu yoyote inaweza kuleta matokeo mabaya sana kwa Rais. Watanzania hawapendi watu wababe kwa washindani wao!
Kama Sauli wa kwenye biblia, LABDA nae anaanza kuona mwanga, yafaa tumuombee.Nachojua point number 1 ndiyo imekuuma zaidi coz upo kundi la waliokwatwa mkia 🤣🤣🤣
By the way hongera Comrade i see jinamizi limeanza kukuachia leo umeweza kufungua thread inayohusu chama chako per se.
Yaliyompata ni makubwa. Kawaona hata akina Lijua wako hoi wanalia kikwelikweli, sio kujiliza, na hamna alie na 'time' naoKwa mara ya kwanza nakupa like leo maana naona akili zimekurudia