Na utitiri wenu vishule vya kata kila siku bado mnataka wawasahihishie na kuwatangazia kwa muda uleule wa miaka ya sisi!! Hapo bado hamjawaumiza vichwa watu wa watu kwa mituhuma yenu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani.
Unadhani mpaka watangaze kumfutia mtu matokeo ni kazi ya siku moja?
Halafu mara nyingi wenye viherehere vya kutaka kujua passmark ni ngapi, mara mitaala hatupewi madarasani mara ooh matokeo yamecheleweshwa...huwa kichwani sifuri. Wenyewe waliopigilia misonge ya nguvu wapo kimyaa wanajiamini...