lobikoki loti
Member
- Dec 5, 2014
- 69
- 27
Motokeo ya form 4 2014 lini?na pia wataripoti shule lini!? kwani kuna wanaotaka kusoma kozi ya kompyuta miezi mitatu ila sasa wanapata wasiwasi kama mda utaruhusu ,nawasilisha wakuu ;.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado mtu wangu mpaka mwezi wa pili mwishoniMotokeo ya form 4 2014 lini?na pia wataripoti shule lini!? kwani kuna wanaotaka kusoma kozi ya kompyuta miezi mitatu ila sasa wanapata wasiwasi kama mda utaruhusu ,nawasilisha wakuu ;.
Ni pm nikupe no ya dr msonde umuulize..
Nitumie
Wewe sema hauna unanipotezea mda
Nitumie
Nashukuru kwa michango yenu ila wachache ndo mmejibu
Na utitiri wenu vishule vya kata kila siku bado mnataka wawasahihishie na kuwatangazia kwa muda uleule wa miaka ya sisi!! Hapo bado hamjawaumiza vichwa watu wa watu kwa mituhuma yenu ya udanganyifu kwenye vyumba vya mitihani.
Unadhani mpaka watangaze kumfutia mtu matokeo ni kazi ya siku moja?
Halafu mara nyingi wenye viherehere vya kutaka kujua passmark ni ngapi, mara mitaala hatupewi madarasani mara ooh matokeo yamecheleweshwa...huwa kichwani sifuri. Wenyewe waliopigilia misonge ya nguvu wapo kimyaa wanajiamini...