SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Naomba niseme mapema kuwa matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2010 yatajirudia tena mwaka huu wa 2011. Nasema haya kwa kuwa hakuna juhudi zozote zile toka Serikali kuu wala Serikali za Mitaa katika kuhakikisha kuwa Wanafunzi wetu wanafanya vizuri katika masomo yao. Bila Elimu bora tusahau kutoka hapa tulipo.