Kati ya wanafunzi 567,567 waliofaulu ni wanafunzi 515,187 ndio waliopata nafasi ya kujiunga na kidato cha kwanza na wanafunzi 52,380 kukosa nafasi.
Hata hivyo naibu waziri wa elimu Mh.Mulugo amedai kua hao waliopata nafasi watachujwa tena Januari ili kuangalia wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.
Source:Mwananchi.
Hata hivyo naibu waziri wa elimu Mh.Mulugo amedai kua hao waliopata nafasi watachujwa tena Januari ili kuangalia wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.
Source:Mwananchi.