Msiogope jamani,hii kazi Mungu alishaikamilisha toka asubuhi!CCM chali.
Unachekesha, huo ni mwanzo tuu mtu wangu, haya matokeo ni bonge ya suprise kwa wana CCM, mlidhani mnaendesha mabwege, subiria bunge jipya ndiyo utatia akili.You are cheating yourself...Wa tz hawadanganyiki ...JK Presidaa anaapishwa week end...fungua macho-- angalia trend za matokeo.
Marmo amekataa kusign
Marmo amekataa kusign
MBULU mpaka sasa matokeo bado au Marmo anataka kuchakachua.!