kama Yondani ni msaada imekuaje hizo tatu zikapita?????, njoo na hoja Staz kwa ujumla imecheza fyongo na Yondani na Chuji wakiwa mstari wa mbele kwa kucheza fyongo.
goli la okwi nani alikua uchochoro, jibu maftah, goli la kiza uchochoro mafta, goli la 3 ukibisha we mwanga huyu mchawi wa kigoma sjui alikua anafanya nini golini akauachia mpira,. Haya machezaji ya simba ni janga la taifa pumbafu zao yametutia aibu leo