Matokeo Makubwa Sasa - BRN

Matokeo Makubwa Sasa - BRN

Nyange

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
3,517
Reaction score
1,869
Jana nilisikia waziri mkuu akitoa tathmini ya Serikali. Nikapata shida kwenye kitengo cha elimu kuwa ndo kinaongoza kwa kufanya vizuri.
Hivi elimu ya Tanzania inaweza kufanikiwa kwa kupanga matokeo bila ya kurekebisha hali na kufanya mazingira rafiki kwa walimu na miundombinu?.

Nimepata shida sana nakufikiri labda matatizo yanatokana na viongozi wetu walo weni wa kiserikali. Nime- google CV ya kiongozi mmojawapo ambaye kila uteuzi wa mawaziri anakuwemo kwenye hiyo list. Hivi kweli kuna muujiza tunao utarajia sisi watanzania kutoka hapa tulipo?

Hapa si viongozi hawahawa watafikiria ili kuendelea lazima ushirikina utumike. Hata kauri za wale walio kwapua fedha za uma walipokuwa wakihojiwa wameendelea kutoa lugha za dharau. sitazitaja zinaeleweka.

Kwenye Hotuba ya Rais aliyoitoa kwa wazee wa Dodoma alitetea hizo pesa kuwa si za uma kwasababu mkaguzi mkuu wa serikali aliishauri Tanesco kuwa ziondolewe kwenye list ya wadaiwa. Ikumbukwe kuwa kwenye ripoti ya fedha wadaiwa ambao madeni yao ni zaidi ya miaka kadhaa anaweza kushauri kuwa yaondolewe kwenye ripoti ya fedha na ushauri huo wa kuondoa wadaiwa hao haimaanishi kuwa sio pesa ya Tanesco. Huo ni utaratibu tu.
Naambatanisha CV ya kigogo mmojawao
Member of Parliament CV
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="colspan: 3"] GENERAL
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Salutation
[/TD]
[TD] Honourable
[/TD]
[TD="width: 42%"]
Member picture
C:\Users\DELL\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] First Name:
[/TD]
[TD] William
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Middle Name:
[/TD]
[TD] Vangimembe
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Last Name:
[/TD]
[TD] Lukuvi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"] Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"] Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Constituent:
[/TD]
[TD] Ismani
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Political Party:
[/TD]
[TD] CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Location:
[/TD]
[TD] P.O.Box 980, Dodoma
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Phone:
[/TD]
[TD] +255 262 321 151
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Ext.:
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Fax:
[/TD]
[TD] +255 22 2320046
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office E-mail:
[/TD]
[TD] wlukuvi@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Member Status:
[/TD]
[TD] Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Date of Birth
[/TD]
[TD] 15 August 1955
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="colspan: 5"] EDUCATION
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 35%"]
School Name/Location
[/TD]
[TD="width: 27%"]
Course/Degree/Award
[/TD]
[TD="width: 15%"]
Start Date
[/TD]
[TD="width: 13%"]
End Date
[/TD]
[TD="width: 10%"]
Level
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Open University of Tanzania
[/TD]
[TD]
Masters in Political Science
[/TD]
[TD]
2008
[/TD]
[TD]
2011
[/TD]
[TD]
MASTERS DEGREE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Washington International University - USA
[/TD]
[TD]
BA (Inter. Studies &Diplomacy)
[/TD]
[TD]
2001
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
GRADUATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Moscow - USSR
[/TD]
[TD]
Diploma in Political Science
[/TD]
[TD]
1982
[/TD]
[TD]
1983
[/TD]
[TD]
ADV DIPLOMA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Tabora Teacher's Training College
[/TD]
[TD]
Teaching Course
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
1975
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Iringa
[/TD]
[TD]
Training in Defence and Security
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
1980
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Computer Training College-Dar es Salaam
[/TD]
[TD]
Training in Computer Course
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
1998
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Lindi
[/TD]
[TD]
Political Course
[/TD]
[TD]
1976
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Moscow - USSR
[/TD]
[TD]
Leadership Course
[/TD]
[TD]
1985
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Johanesburg - South Africa
[/TD]
[TD]
International Observers Course
[/TD]
[TD]
1994
[/TD]
[TD]
-
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="colspan: 4"] EMPLOYMENT HISTORY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Company Name
[/TD]
[TD]
Position
[/TD]
[TD]
From
[/TD]
[TD]
To
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Ministry Of Land, Housing and Human Settlements
[/TD]
[TD] Minister
[/TD]
[TD]
2015-01-24
[/TD]
[TD]
To Date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] United Republic of Tanzania
[/TD]
[TD] Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)
[/TD]
[TD]
2010
[/TD]
[TD]
To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Dodoma Regional Commissioner
[/TD]
[TD] Regional Commissioner (RC)
[/TD]
[TD]
2006
[/TD]
[TD]
2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Prime Minister's Office
[/TD]
[TD] Minister Of State(Policy,Coordination and Parliamentary Affairs)
[/TD]
[TD]
2000
[/TD]
[TD]
2005
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Ministry of Labour and Youth Development
[/TD]
[TD] Deputy Minister
[/TD]
[TD]
1995
[/TD]
[TD]
2000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Bukoba District Commissioner
[/TD]
[TD] District Commissioner
[/TD]
[TD]
1994
[/TD]
[TD]
1995
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD="colspan: 4"] POLITICAL EXPERIENCE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 47%"]
Ministry/Political Party/Location
[/TD]
[TD="width: 31%"]
Position
[/TD]
[TD="width: 12%"]
From
[/TD]
[TD="width: 10%"]
To
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CCM
[/TD]
[TD] Member of the Central Committee
[/TD]
[TD]
2010
[/TD]
[TD]
2012
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CCM
[/TD]
[TD] Member of the National Executive Committee
[/TD]
[TD]
1997
[/TD]
[TD]
To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] CCM
[/TD]
[TD] Member of the Region/Executive committee
[/TD]
[TD]
1995
[/TD]
[TD]
To date
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Chama Cha Mapinduzi - CCM - Head Office (Youth Organisation)
[/TD]
[TD] Deputy Secretary General
[/TD]
[TD]
1992
[/TD]
[TD]
1993
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD] Regional Secretary - Youth Organisation
[/TD]
[TD]
1989
[/TD]
[TD]
1992
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD] Head of Department - Youth Organisation
[/TD]
[TD]
1984
[/TD]
[TD]
1989
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Chama Cha Mapinduzi - CCM
[/TD]
[TD] Regional Secretary - Youth League
[/TD]
[TD]
1980
[/TD]
[TD]
1984
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hayo ndio matokeo makubwa sasa, wewe huoni tumeongeza idadi ya waliofaulu kutoka 38% hadi 68% ingawa hawana pa kwenda yaani hawachukuliki kuendelea na elimu ya juu.Tumewafanyia mazingaombwe watanzania na watatuelewa tu kesho wanatupa ulaji kama kawa. Kalaghabhaho!!!
 
Hayo ndio matokeo makubwa sasa, wewe huoni tumeongeza idadi ya waliofaulu kutoka 38% hadi 68% ingawa hawana pa kwenda yaani hawachukuliki kuendelea na elimu ya juu.Tumewafanyia mazingaombwe watanzania na watatuelewa tu kesho wanatupa ulaji kama kawa. Kalaghabhaho!!!

Ndo maana walifuta vipengere kwenye katiba pendekezwa ya Mzee Warioba kuwa mbunge ajue kusoma na kuandika. jamaa kasoma kuanzia (mwaka - mpaka 1980)- Cerfificate.
Mwaka 1985 mpaka - )- Certificate Tehe tehe!!!!
 
Ni lazima takwimu ziwe hivyo ili watu waelewe jinsi serikali ya CCM ilivyo makini.
 
Back
Top Bottom