Mngoni Halisi
Member
- Jan 8, 2012
- 8
- 1
Jaman me hata sielewi kuhusu haya matokeo ya kidato cha nne.Mana nasikia Wizarani yametoka lkn kwenye mtandao bado.Kama ni ivyo mbona vyombo vya habari havijatangaza kama Matokeo yametoka?
Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia...