Matokeo kidato cha nne 2009


Hivi hata kama kampuni za simu zitachukua 50% lakini bado ni maumivu kwa mtu wa kawaida, wewe unaweza kuona sio ishu, ila kuna jamaa wanakula 200 familia ya watu 4 kwa siku!

Hapo ndipo tunapoendelea kutiana umaskini mchana kweupeee!
 
Enz ze2 matokeo had yapelekwe mashulen 2liposemea ndo 2kayaone au 2kaulize kwa afisa elimu wa mkoa yan acha m2 2likuwa 2naish na pesha hata mwez mzma hujui matokeo na yametangazwa tayar
 
hivi ww uliye post mzima kweliii hayA NDO MATOKEO YA FORM 4 2009.......HEBU CLICK MWENYEWE UONE KAMA 2009
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…