Wewe pia ni mdau wa elimu, tafakari mchango wako katka ubaya/uzuri wa matokeo ya mtihani then ndipo uanze kulaumu serikali. Watz wengi ni wau wa matukio, nyumba inapochakaa wote kimya hakuna anaeogea wala kusikia ila ikidondoka kila mtu huanzsha lawama,uchambuzi wa hoja limradi tu kasikika. Mathalan, mwanao ukijua kapata matokeo mabaya hata akafikiria kujtoa uhai hapo mzaz jukumu lako nnini? Au unataka serikali ifanye nn hapo?