LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
hii siyo tetesi bali ni habari ya kweli kabisa,na kwamba mwili wa marehemu umehifadhiwa hospitali ya wilaya monduli kwa uchunguzi zaidi,lakini taarifa za awali zinasema kuwa marehemu huyo alijaribu kunywa sumu lakini mauti hayakumkuta,mpaka alipo amua kujinyonga usiku wa kuamkia jana na ndipo mauti yalivyo mkuta.
Pole kwa familia yake,lkn mbona amechelewa sana?
Naona nawe u-katika wale wanaoamini giza.KWANI WEYE HAUJUI KUFELI KWAO NI KUTOKANA NA SIASA KUINGILIA ELIMU ILA MIE NDO WANIONA NAINGIZA SIASA.UNASEMA HATA KAMA KAWEZESHWA VIPI?WAMEWEZESHWA WAPI NDUGU HEBU NITAJIE SHULE TATU ZENYE MAABARA ZA UHAKIKA!HAO WATOTO UNAOWALAUM ETI HAWAJISOMEI NYUMBANI(NYOO)KAMA MAZINGIRA KUANZIA SHULENI,NJIANI HAYAMPI MUMKARI WA KUITAFUTA NA KUIPATA ELIMU HUKO NYUMBANI NDIO ATASOMA NINI???MORAL YA KUJISOMEA NYUMBANI INASUKUMWA NA UNACHOKIPATA SHULENI.Eehe!!eti kufail hawakuanza wao,hivyo ni sawa tu kwako eeeh!Hebu niambie ni mwaka gani kulikua na anguko la elimu unalolinganisha na la 2012???Eti wana lao,sio lako???YOTE KWA YOTE YANACHANGIWA NA JAMII KWA UJUMLA KUKOSA MAADIL NA VISION YA TAIFA.Acha kuchukulia kila kitu siasa unakuta mwanafunzi yeye mwenyewe elimu hajaipa kipaombele hajisomei nyumbani unategemea apasi vipi hata kama kawezeshwa vipi.kama kufeli hawakuanza wao wanalao tu.
Tanzania ni nchi ya ajabu sana ambayo watu wake hawaujali uhai wala kuishi na kuhisi maumivu na matatizo ya wenzi wao.,TUNISIA ALIJICHOMA RAIA MMOJA KWA KUKATAA UNYANYASAJI WATU WOTE WAKAJIHISI UCHUNGU,HAPA KWETU WANAJIUA WATOTO WETU 3-4 KWA UZEMBE WA SERIKALI KUSHINDWA KUWEKA MIPANGO DHABITI NA SAHIHI KUNAKO NYANJA YA ELIMU KUNAKOSABABISHA (WATOTO)WATU WENYE MOYO NA NIA DHABITI YA KUSOMA NA KUSONGA MBELE WANAIKOSA KWA KUNYIMWA AU UZEMBE WA WAZI LAKINI HAMNA ANAYEJALI NA HATA VYOMBO VYA HABARI HAVIONI YA KWAMBA NI HABARI KILA MTU NA LWAKE,Duh!~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~Tujali nini kwani hata wasipojiua si tutawapiga kiberiti kesho watakapokwapua T-shirt na jeans kwa njaa ya kukosa mlo???KUUA,kUJIUA INAKUWA KAWAIDA KWA MTANZANIA HII NI HATARI KUBWA NA TUIKATAE SASA.
Usijidanganye hata kidogo, majina ya wanafunzi pia yamechanganywa changanywa hovyo hovyo pamoja na namba zao za mitihani! Wapo pia waliofaulu wakafelishwa kwa maksudi. Mkuu huenda wewe huna watoto bado uchungu wake huujui labda. Usisherehekee matitizo yaliyompata mwenzako.Itakuwa alitegemea kufaulu bila kusoma!...
Na MAGIZA hapa nayaona yanashindwa kuelewa kwamba hawa watoto mpaka kufikia kuchukua uamuzi kama huo ni kwamba alijitahidi kujisomea kwa kila njia pamoja na madhila yote ya kijamii na ugumu wa maisha aliamini ya kwamba ELIMU ndio mkombozi wake.,MBAYA ZAIDI BAADA YA YEYE KUFAIL ANAANDAMWA NA WAZAZI/WALEZI AMBAO WAMEIFUMBIA MACHO SERIKALI,WANAANGALIA KWA KENGEZA,WANAONA UPANDE MMOJA WA SHILINGI!!!.Kaaaaaaaaz kwelkweli.CCM wanaiita Nchi yenye amani, Tanzania.
Pole kwa familia yake,lkn mbona amechelewa sana?
kwa taarifa nilizozipata kwa jamaa alieko monduli Arusha kwamba mwanafumzi wa kike aliemaliza shule moja hapo minduli na kufeli kidato cha 4 ajinyonga na kufariki kisa matokeo mabaya ya mwaka huu.huyu nadhani atakuwa wa 3 au wa 4 sasa kujiua kutokana na matokeo mabaya.mmh nini hatima yake.naiomba na jamii na wananchi tuache kuwakejeli au kuwasemasema vijana waliofeli.kufeli sio kufeli maisha.sijui watajiua wangapi mwaka huu.duuh.poleni wafiwa
waliofeli wata pasi baada ya kujiuzulu na walio kufa pia watafufuka
Pia serikali yetu ni hatari zaidi!duh!Hawa wadogo zetu ni hatari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tanzania ni nchi ya ajabu sana ambayo watu wake hawaujali uhai wala kuishi na kuhisi maumivu na matatizo ya wenzi wao.,TUNISIA ALIJICHOMA RAIA MMOJA KWA KUKATAA UNYANYASAJI WATU WOTE WAKAJIHISI UCHUNGU,HAPA KWETU WANAJIUA WATOTO WETU 3-4 KWA UZEMBE WA SERIKALI KUSHINDWA KUWEKA MIPANGO DHABITI NA SAHIHI KUNAKO NYANJA YA ELIMU KUNAKOSABABISHA (WATOTO)WATU WENYE MOYO NA NIA DHABITI YA KUSOMA NA KUSONGA MBELE WANAIKOSA KWA KUNYIMWA AU UZEMBE WA WAZI LAKINI HAMNA ANAYEJALI NA HATA VYOMBO VYA HABARI HAVIONI YA KWAMBA NI HABARI KILA MTU NA LWAKE,Duh!~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~Tujali nini kwani hata wasipojiua si tutawapiga kiberiti kesho watakapokwapua T-shirt na jeans kwa njaa ya kukosa mlo???KUUA,kUJIUA INAKUWA KAWAIDA KWA MTANZANIA HII NI HATARI KUBWA NA TUIKATAE SASA.