Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 805
- 710
Sisi wachaga tunataka kuwajengea wahaya standHiyo ni individual view,kwani huyo mtu ni yeye tu mlevi tz nzima? Mbona hata kagera wapo? Kiufupi KWENYE msafara wa kenge na mamba wamo
Sisi wachaga tunataka kuwajengea wahaya standHiyo ni individual view,kwani huyo mtu ni yeye tu mlevi tz nzima? Mbona hata kagera wapo? Kiufupi KWENYE msafara wa kenge na mamba wamo
Umepata pa kujifutia machozi mwee Ila kimikoa mmefutwa rasmi KWENYE ramani ya elimuNilijua kuwa shule Bora Lazima kagera zijazane kibao....
Watu wenye akili Wana akili hata ufanyeje.
Wahaya na elimu ni Pete na kidoleView attachment 1992478
Fungua machoMbona sioni Rukwa
NaamIringa na Mbeya ni mikoa bora zaidi kuishi Tanzania. Wako vizuri kuanzia elimu, per capita, gharama nafuu za maisha nk.
Hawamo hao,ni wageni ndio wanaipaishaNaona Wazaramo na Wandengereko wenzangu wa Dar es salaam na Pwani wameendelea kuwepo kwenye kumi bora za matokeo yote ya NECTA kwa miaka karibu kumi sasa.
Remind you Kilimanjaro ina shule 952 so mmetuzidi 8 tuKagera Sasa ndo mkoa wenye shule nyingi zaidi. Shule 960 ukizidi mikoa yote nchini
mkuu na amini hujui kinachoendelea kwny elimu kwa mkoa wa iringa na nchi kwa ujumla wake. nakushauri ingia nacte alafu lete mrejesho hapa.Ni mwaka huu tu
Shule za sec mbona tumewapiga chini sanaRemind you Kilimanjaro ina shule 952 so mmetuzidi 8 tu
Lakini linganisha kagera ilivyo kubwa na Kilimanjaro ilivyo ndogo
Kilimanjaro ingekuwa kubwa tungefanya maajabu ya mussa
Kuna nyakati hadi chato ilitoa tanzania one daaah😂Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.....
Somo tajwa hapo juu lahusika,mkoa wa kagera ktk matokeo ya darasa la Saba 2021 umeporomoka kiasi Cha kukosekana miongoni mwa mikoa 10 iliyofanya vizuri, sii tu kimkoa Bali hâta katika halmashauri 10 bora Hakuna hata moja ya mkoa huo,mkoa wa KILIMANJARO umeendelea kuwa kidedea katika elimu kwa kutetea nafasi yake ambapo mwaka huu umekuwa wa 6 kitaifa huku halmashaur ya Moshi Mc ikiwa miongoni mwa halmashaur 10 zilizofanya vizuri
HONGERENI KILIMANJARO
CC
miss pablo View attachment 1992357
Hebu tazama hiki kijiji huko bukobaSisi wachaga tunataka kuwajengea wahaya stand
Ahaa wap halafu bado mkoa unatoa shule Bora Kama zote.Umepata pa kujifutia machozi mwee Ila kimikoa mmefutwa rasmi KWENYE ramani ya elimu
Wewe personally hayo matokeo yana impact ipi kwako ?
Serikali itajenga tu ikiamua. Huwezi walazimisha.Ila stand vipi
Lakini huwezi kusikia wanajigamba kama yale majamaaIringa na Mbeya ni mikoa bora zaidi kuishi Tanzania. Wako vizuri kuanzia elimu, per capita, gharama nafuu za maisha nk.
Yani idadi ya kagera ni zaidi ya watu milion 5 mkoa kilimanjaro ata milion atufiki tuna waziwa kua jijiSerikali itajenga tu ikiamua. Huwezi walazimisha.
Ila wahaya Kama wahaya wanajijenga kivyao achana na serikali.
Tazama hiki kijiji Hadi Raha.......View attachment 1992561View attachment 1992562
Wageni wanatoka wapi? Dar na Pwani bado wenyeji Wana make most of population. Learn to appreciate other people success!Hawamo hao,ni wageni ndio wanaipaisha
Kagera ni million tano ya nyokoYani idadi ya kagera ni zaidi ya watu milion 5 mkoa kilimanjaro ata milion atufiki tuna waziwa kua jiji
Mitanzania kama huyo fala ina element za kibaguzi sanaWageni wanatoka wapi? Dar na Pwani bado wenyeji Wana make most of population. Learn to appreciate other people success!
Wahehe wana akili sana ila huwa hawajisifu kama wahaya na wachaga kama unabisha nenda kavute matokeo ya darasa la saba miaka 10 ilopita uone watoto wa kinyalu wamo tu kwenye top 10. Kamwene watani zangu wala umbwaWakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.....
Somo tajwa hapo juu lahusika,mkoa wa kagera ktk matokeo ya darasa la Saba 2021 umeporomoka kiasi Cha kukosekana miongoni mwa mikoa 10 iliyofanya vizuri, sii tu kimkoa Bali hâta katika halmashauri 10 bora Hakuna hata moja ya mkoa huo,mkoa wa KILIMANJARO umeendelea kuwa kidedea katika elimu kwa kutetea nafasi yake ambapo mwaka huu umekuwa wa 6 kitaifa huku halmashaur ya Moshi Mc ikiwa miongoni mwa halmashaur 10 zilizofanya vizuri
HONGERENI KILIMANJARO
CC
miss pablo View attachment 1992357