Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

Matofali ya kisasa interlocking blocks(hydrafoam) kwa anayehitaji

Joined
Apr 1, 2013
Posts
11
Reaction score
2
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafs.

Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa.

Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement.

Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu

Plasta yake ni nusu nchi ukilinganisha na tofali ya block ambayo ni nchi moja na nusu

Ni imara na yanadumu kwa muda mrefu.

Yanavutia na ni mazuri hata kwa kuyatazama mfano wake ni nyumba za kibada NHC Dar es salaam.

Bei ni Maelewano kwa kila tofali bei itapungua iwapo utatupa tenda ya kukujengea nyumba yako.

KWA ALIYE TAYARI
TUPO UBUNGO NATIONAL HOUSE
NYUMA YA UBUNGO PLAZA
DAR ES SALAAM
Contact: +255 753 240 220
MWANZA TUPO NYEGEZI
MALIMBE CAMPUS JENGO LA LEMA ENTER PRISES
Contact:+255 753 240 220
E- mail: timirashy@yahoo.com
 
Mb
Kwa makandarasi, wafanyakazi na wafanyabiashara wa kada zote na Taasis za serikali na binafsi
Matofali haya ni ya kisasa kwani ya gharama nafuu kwa ujenzi wa nyumba za kisasa
Matofali yana mchanganyiko wa morram na cement
Hayahitaji mota kujenga kwani ni ya kupanga tu
Plasta yake ni nusu nchi ukilinganisha na tofali ya block ambayo ni nchi moja na nusu
Ni imara na yanadumu kwa muda mrefu
Yanavutia na ni mazuri hata kwa kuyatazama mfano wake ni nyumba za kibada NHC dar es salaam
Bei ni Maelewano kwa kila tofali bei itpungua iwapo utatupa tenda ya kukujengea nyumba yako
KWA ALIYE TAYARI
TUPO UBUNGO NATIONAL HOUSE
NYUMA YA UBUNGO PLAZA
DAR ES SALAAM
Contact: +255 753 240 220
MWANZA TUPO NYEGEZI
MALIMBE CAMPUS JENGO LA LEMA ENTER PRISES
Contact:+255 753 240 220
E- mail: timirashy@yahoo.com
Mbona number zenu hazipatikani muda wore
 
Tuambieni bei hata mm nayahitaji sana tuambie bei kila tofali in sh ngapi hata kama kuna maelewano tujue
 
Kwa atakaehitaji mashine ya kutengeneza Hizi Tofali Mashine tunazitengeneza laki nane tu unazipata karibuni tupo Ubungo external lolote 0762612213

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom