Hivi haka kamtindo ka kuacha maziwa watu wayachungulie mnavyofanya wakina dada mna maana gani? Yaani utakuta mtu hadi wa ofisini matiti kayaacha nje au wengine wamevaa nguo zenye V yaani maziwa kila mtu anayaona. Halafu myebana mpaka mnatupa majaribu kufanya kazi na nyie. Acheni bwana matiti yako kamuonyeshe mumeo huko alaaaaaah