Nina mdogo wangu ana tatizo hilo linamtesa sana toka akiwa mdogo amefanyiwa operation mara kadhaa na bado unajirudia. Ulimtokea ktk eneo la pua na jicho.
Nawakaribisha wataalamu kwa msaada kama kuna dawa maana hospital anaambiwa ni upasuaji tu sasa atapasuliwa mpaka lini? Ndo tunawaza hapo
Nawakaribisha wataalamu kwa msaada kama kuna dawa maana hospital anaambiwa ni upasuaji tu sasa atapasuliwa mpaka lini? Ndo tunawaza hapo