<br />M-ental<br />
A-ttack<br />
T-o<br />
H-ealthy<br />
S-tudents<br />
=>give us 4 mathematics.
<br />Maths ni somo rahisi sana unachotakiwa ni kujua rules of the game baasi, kwa kifupi ni A ya bure kwa level yoyote ile
<br />Mangwini utawajua tu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu ndugu yangu... Kwanini unaichukia hisabati kiasi hicho?? Ni ubaya gani hisabati iliyopata kukutendea???,,,, au na wewe pia ni mmoja miongoni mwa wale waliopata division III za penalt 4m4 kwa ajili ya hisabati??