mathematicians look here - if possible correct me please with detailed explanations

hayo ni mawazo yangu tu jamani na jinsi nilivyokuwa nafikiri about mathematics,manake msingi wa tatizo langu unaanzia kwenye programming..kwa mawazo yangu mwenyewe sikuweza kulitambua kosa,lakini mchango wenu umeniwezesha kugundua kitu
- thanx SMU - nimekupata vizuri ni kweli kuna assignment problem hapo nilipolet a=1 badala ya 1=a
-thanks CPT-nahisi hapa ndo hasa tatizo lipo
 
Back
Top Bottom