EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Uzi tayari
Niwapeleke wapi[emoji57][emoji57][emoji57] wanachoshaga sana kwenye gemu hata sitaki kuwasikia.[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]Meli inaelea lakini shillingi inazama[emoji28][emoji28][emoji28]
Naona unawatafuta watu wanene kwa hali na mali
Subiri wanakujaNiwapeleke wapi[emoji57][emoji57][emoji57] wanachoshaga sana kwenye gemu hata sitaki kuwasikia.[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Nyie nasikia mkiwa kwenye gem mnatingishika mabega badala ya kiuno[emoji23][emoji23][emoji23]Subiri wanakuja
Leo wembamba tumepumzishwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comment tayari
Duu huyo jamaa na mwanafunzi safi sana baharia mzoefu. Utasikia hakuna bikra muulizeni huyo mwana anazijua