inaonekana wewe naye ni mhamiaji haram kwasababu unachokiandika hapa ni cha kijinga sana,,hivi wewe unaweza kuipinga kazi inayofanywa na rais??? kwani kuna mtu aliwaita kuingia tanzania na kuanza kufanya ujambazi?? acha waondoke ili majeshi yetu yatapambana nao vizuri wakirudi kuvamia kama majambazi,,maana sasa hivi wakianza kudeal nao watasema wanawaonea kwavile wapo nchin kwetu na pia acha kutetea ujinga hiyi ni amri ya mkuu wa nchi aliechaguliwa na sisi raia wema na sio kanjanja na mhamiaji haramu kama wewe....na wewe kama ni kitukuu au mjukuu wao au mjomba wao wafuate,,,nenda kwenu maana siku itafika tutakuonda tu