Kwa sababu u mjinga ngoja tukufahamishe tu.
Oct 07.2023 magaidi wa Hamas waliwateka watu 251 na leo hii mateka 251 ndiyo wameachiwa na magaidi hao baada ya IDF kuamua kuimaliza kazi kwa nguvu za kijeshi bahati mbaya sana Magaidi hao wakaliona hilo na kuamua kuwaachia Mateka wote ndiyo ikawa pona yao!!
Kuwarudisha nyumbani mateka wote ilikuwa moja ya ya malengo ya Israel kwa hiyo si kutafuta sifa ilikuwa ni kuwarejesha Mateka nyumbani kwa njia yoyote ile.
Wewe endelea tu kubwabwaja maana Hamas sasa hawana Lao Oct 07.2023 haikuwaletea Friday yoyote ile zaidi tu wamepoteza 58% ya ardhi ya Gaza na kisha kupoteza utawala huko Gaza, viongozi wao wote kuangamizwa, kusababisa Hassan Nasrallah na Hezboullah yake kusambaratishwa, Aliyekuwa rais wa Syria kupinduliwa Nyokonyoko zilizokuwa zinatoka Syria, Iraq na Lebanon sasa kimya utafikiri wamesafiri kumbe wapo Mbwa hao!!!
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeona Gaza ceasefire kama victory kwa Israel.
Hata Netanyahu mwenyewe hajathubutu kutangaza ushindi kwa sababu malengo makuu matatu ya Israel
yameshindwa waziwazi
Kuondoa Hamas kabisa , failed.
Baada ya mwaka mzima wa mashambulizi ya anga, ardhini, na kizuia misaada ya kibinadamu, Hamas bado ipo,
Kuwakomboa mateka wote failed pia.
Kiasi kikubwa cha mateka wameachiwa kupitia makubaliano ya kubadilishana (prisoner swap), si operation za IDF.
Wengi wameachiliwa
baada ya mazungumzo kupitia Qatar na Egypt, sio kwa IDF kuingia kuwakomboa physically.
Hata Waisraeli wenyewe wanaukosoa serikali yao kwa kushindwa kuwaleta mateka kwa njia ya kijeshi ndiyo maana presha ndani ya Israel ni kubwa kiasi kwamba Netanyahu yuko kwenye
political survival mode.
Kurejesha heshima ya usalama wa Israel pia failed imeporomoka vibaya.
Kabla ya Oct 7, dunia nzima iliamini MOSSAD na IDF ni invincible
Leo, credibility yao imeporomoka hadi hata Waisraeli wenyewe wanakosoa intelligence yao hadharani.
Halafu unasema
Hamas wamepoteza 58% ya ardhi ya Gaza, Gaza ni eneo dogo la watu milioni 2 lenye 360 km tu hiyo siyo ardhi ya kutawala kama nchi hio 58 sijui umepigaje hesabu zako
Lakini kwakuwa wewe ni mlokole na walokole huwaambii kitu kuhusu Israel
You’re too baptized in your religious bubble propaganda to see what’s really happening.