Matatizo ya nyonga na mifupa

Ntinginywa dia,pole sana. Kuumwa kwa nyonga wakati wa ujauzito n common kwa akina mama wengi. Mimi niliumwa sana na ikafikia wakati nikawa cwezi hata kugeuza mguu kitandani. Nilitembea hosp kwa gynae na kumpigia cm mpaka ikafikia muda akawa anacheka tu na kuniambia " vumilia tu mdogo wangu". Aepuke matumizi ya dawa kwani c nzuri kwa afya ya mtoto aliye tumboni. Pia apate muda mwingi wa kupumzika ackae sana.
 
haijalishi nimejiunga lini,ila ucije mpotosha mwenzio akapoteza mtoto.mizizi yote hiyo?!! Kwanza nasiki mimba zikiwa ndogo haishauriwi kumeza midawa hovyo bila ushauri wa medical doctor,sasa we wamjazia mizizi mikavu.mi sifahamu dawa ila kwa sababu aliomba ushauri nadhani ni vyema kwenda hospital kwa ushauri zaidi.we mzz mkavu kwa kuwa umejiunga cku nyingi thats why unamwaga pumba?wacha kabisa!
Wewe ndio unaye mwaga Pumba za kijinga hapa umejiunga jana leo unaleta Pumba zako za kijinga hapa kwenye Thread ukimuona mtu mpaka, kaja hapa kutaka ushauri ukae

ukijuwa imeshindikana ma Hospitalini ndio maana kaja hapa kutaka ushauri. kuna watu humu ndani
watu wenye PHD wanazisoma Dawa zangu hawazijuwi na wanakuja hapa kujifunza dawa zangu itakuwa wewe uliyejiunga jana nakuleta Pumba zako za kuwalaumu watu? Achani

mambo ya ligi Simba na Yanga au mambo ya Siasa kama una ujuzi na wewe leta ujuzi wako hapa unakaribishwa sio kuleta pumba zisizokuwa na point nimetowa dawa je huyo

mwenye mgonjwa kalalamika chcochote kuhus dawa zangu? Kama unashindwa kujibu bora tu usome kisha acha au chukuwa baadhi ya manufaa ya Dawa mimi ndie ni MziziMkavu hauchimbwi Dawa Kazi kwako Mkuu jackbauer Umetumwa nini wewe?
 
miezi mi 4 hiyo ni 2nd trimester na Pain in the lower back and legs hiyo inasababishwa na pressure on muscles and nerves by the uterus and fetal head maranyingi hutokea katika 3rd trimester 24 TO 28 - 42 WEEKS. nafkiri mzizi makvu anakupa dawa asilia ya kupunguza hayo maumivu but physiologically sababu ya pain ni hiyo na ni normal Kwa mjamzito kama madactari walivyo kwambia.
P.S iam just a med.student on clinical rotations fata ushauri kutoka kwa wataalamu zaidi ila usiwe na wasiwasi MUNGU NDIYE MJUZI ZAIDI atakusaidia
 
Mama yangu mzazi 65,anasumbuliwa na maumivu kwenye nyonga pamoja na mifupa kuanzia kiunoni..naomba msaada kama kuna mtu anajua dawa aniandikie hapa,au ushauri wowote..tatizo limekuwa la miaka 2
 
pole kwa kuuguza mama! Na mm ni muhanga wa kuuguliwa na mama, hivi ninavyosema yupo kitandani 2weeks kwa tatizo la maumivu ya mguu ndani ya mfupa kuanzia kiunoni hadi gotini, maumivu yake kama kidonda. msaada jamani Doctars,tunaomba hata ushauri tu tufanyeje juu ya hawa mamazetu!,
 
Maumivu ya nyonga


(1) Dawa ya maumivu ya Nyonga tumia Moja wapo wa hizi dawa inshallah kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu zitaweza kukusaidia.


Utwange Gramu 6 za mbegu za (harmal) achanganye na maji ya Uvuguvugu glasi moja awe anakunywa kutwa mara 3 kabla ya kula kitu kila siku kwa muda wa siku 12 inshallah atapona. kila akitumia afanye hivyo.

(2)Na ingine hii chemsha na maji Maganda ya limau kisha kuchemka awe anakunywa kutwa mara 3 glasi moja ya hayo maji kabla ya kula kitu Asubuhi,Mchana na usiku kwa muda wa siku 12 atapona inshallah.

(3) Na ingine hii Pata Asali safi mbichi ya nyuki changanya na unga wa mbegu za (Harmal) gram 5 awe anakunywa kutwa mara 3 Asubuhi kijiko kimoja cha kulia wali mchana kijiko kimoja na usiku kijiko kimoja kwa muda wa siku 12 atapona inshallah. awe anafanya hivyo kila wakati anapotumia hiyo dawa.

(4)Na hii ingine dawa ya kutibu hayo Maradhi ya nyonga Upate mafuta ya Hina uwe unamfanya masaji sehemu ile inayouma kwenye hiyo nyonga kila siku kutwa mara tatu kwa muda wa siku 12 inshallah atapona.

(5) au hii ya mwisho upate Mafuta ya lozi (mlozi) uwe unafanya masaji kama unavyo fanya kwa kutumia mafuta ya Hina inshallah atapona.

N.B Muhimu Dawa namba 1 Au dawa namba 3 unaweza kuchaguwa kutumia mojawapo kati ya hizo mbili sio kutumia zote 2 kwa wakati moja. Na zilizobakia waweza kutumia zote. Tumia kisha unipe feedback.@Sir.M.D
 
Maumivu ya nyonga


(1) Dawa ya maumivu ya Nyonga tumia Moja wapo wa hizi dawa inshallah kwa
uwezo wake Mwenyeezi Mungu zitaweza kukusaidia.


Utwange Gramu 6 za mbegu
za

(harmal)
achanganye
na maji ya Uvuguvugu glasi moja awe anakunywa kutwa mara 3 kabla ya
kula kitu kila siku kwa muda wa siku 12 inshallah atapona. kila akitumia
afanye hivyo.


(2)Na ingine hii chemsha na
maji Maganda ya limau kisha kuchemka awe anakunywa kutwa mara 3 glasi
moja ya hayo maji kabla ya kula kitu Asubuhi,Mchana na usiku kwa muda wa
siku 12 atapona inshallah.


(3) Na ingine hii Pata
Asali safi mbichi ya nyuki changanya na unga wa mbegu za
(Harmal)
gram 5 awe anakunywa kutwa mara 3 Asubuhi kijiko kimoja cha kulia wali
mchana kijiko kimoja na usiku kijiko kimoja kwa muda wa siku 12 atapona
inshallah. awe anafanya hivyo kila wakati anapotumia hiyo
dawa.


(4)Na hii ingine dawa ya
kutibu hayo Maradhi ya nyonga Upate mafuta ya
Hina
uwe unamfanya masaji sehemu ile inayouma kwenye hiyo nyonga kila siku
kutwa mara tatu kwa muda wa siku 12 inshallah
atapona.


(5) au hii ya mwisho upate
Mafuta ya lozi
(mlozi)
uwe unafanya masaji kama unavyo fanya kwa kutumia mafuta
ya

Hina
inshallah
atapona.


N.B Muhimu Dawa namba 1 Au
dawa namba 3 unaweza kuchaguwa kutumia mojawapo kati ya hizo mbili sio
kutumia zote 2 kwa wakati moja. Na zilizobakia waweza kutumia zote.
Tumia kisha unipe
feedback.@
Sir.M.D

ahsante kwa msaada wako,hizi mbegu za harmal zinapatikana wapi kiurahisi..naomba pia unitumie email yako tafadhali.
 
nilizani ni mimi tu ndo naumwa hvyo ila mbona mi ujauzito wng ni wa miezi miwili? naelekea watatu sasa je pia nikawaida?
 
sorry, i meant kwamba sometimes wanakua dramaqueens... no offense nimeexperience mkuu

ni kumpa ushauri nasaha, apate medical attention nzuri na waangalie asije akapoteza mtoto

ila tusisahau kwamba a foreign body in our bodies may make us a little bit crazy
Duuuu. Dramakwini hadi anaingiza gari mtaroni!? Hiyo nayo kali
 
Ntinginywa dia,pole sana. Kuumwa kwa nyonga wakati wa ujauzito n common kwa akina mama wengi. Mimi niliumwa sana na ikafikia wakati nikawa cwezi hata kugeuza mguu kitandani. Nilitembea hosp kwa gynae na kumpigia cm mpaka ikafikia muda akawa anacheka tu na kuniambia " vumilia tu mdogo wangu". Aepuke matumizi ya dawa kwani c nzuri kwa afya ya mtoto aliye tumboni. Pia apate muda mwingi wa kupumzika ackae sana.

Unasema matumizi ya dawa si mazuri.Vipi kuhusu hizi dawa za food supplements, za kuongeza damu and the like!?
 
Napenda kuwashuku sana wale wote walionipa ushauri ama kunielekeza dawa ya maumivu ya nyonga nimefata ushauri niliopewa na sasa hali yangu imeimarika namshukuru mungu. Mbarikiwe. Ubarikiwe sana dada yangu @ faizafoxy kwa kujali tatizo langu. Ahsante
 
Napenda kuwashuku sana wale wote walionipa ushauri ama kunielekeza dawa ya maumivu ya nyonga nimefata ushauri niliopewa na sasa hali yangu imeimarika namshukuru mungu. Mbarikiwe. Ubarikiwe sana dada yangu @ faizafoxy kwa kujali tatizo langu. Ahsante
Mpendwa, hebu tupe nasi hiyo dawa/tiba hujui yaweza mfaa nani huko mbeleni..... nawe fanya heri kwa wengine.
Nakutakia uzima bora.
 
Mkuu embu toa muongozo na wengine tunufaike kama wewe ulivyonufaika.
 
Mkuu, ni mwaka wa 4 sasa nyonga inanitesa. Nimetumia dawa mpaka nimekata tamaa ila kwa andika lako hili, nahisi wewe waweza kuwa tabibu wa tatizo langu ... Hebu nijuze hiyo tiba, natanguliza shukrani nyingi kwako..
 
Ntinginya, waweza fanya Ultra sound sawa, ila pia angalia psychology ya mkeo.. Pamoja na maumivu yote, mimba zaweza kusababisha mtu akawa either anadeka sana au anapain threshold ndogo sana

sorry i am taking a stick out of your wife, its because better therapy needs to address all... dramaqueen
Its more complicated than just pain
Mkuu hamna drama hapa, mpaka atumbukize gari mtaroni???....are you kidding???
 
Back
Top Bottom