Matatizo ya nyonga na mifupa

Za jion wna jf, mimi ninasumbuliwa na maumivu ya nyonga kwa muda sasa tangu 2011, nimeenda hospital mara nyingi,
M
Nimepima vpmo tofauti ktk hosptl tofaut na nimekuwa nikipata majibu tofaut tofauti, na dawa mbalimbali ambazo zmekuwa zkinipa nafuu ya muda tu na bdae tatizo kurd,
Nimepiga x-ray ya nyoga na mgongo ya nyonga nikaambiwa hakuna tatxo, mgong nkaambiwa uti wa mgongo umekaza, nikapewa dawa na maxoez clinc nikawa vzr lakin baada ya muda tatizo limerudi,
Mara nyingi maumiv haya naypat kipnd cha ovulation muda mwingin maumiv huendelea mpk mp na hata baada ya. Na mara nyingine naumwa mfululizo hata miez 2, nimeonana na specialist wa wanawake, akanifanyia vpimo nikaambiwa ni hormonal imbalance nikapewa dawa multivitamins (one daily woman) na duphustone nilitumia takrban doz tatu mfululizo nikapata nafuu ambay niliona nmepona lakin baada ya miez miwili tu shida ilirud
Mwenzenu nimechoka, nabeni msaada wenu hasa ushauri nifanyeje?
 
Pole sana nenda ukaombewe Sasa kama umeshaonana mpaka na ma specialist.
 
Za jion wna jf, mimi ninasumbuliwa na maumivu ya nyonga kwa muda sasa tangu 2011, nimeenda hospital mara nyingi,
M
Nimepima vpmo tofauti ktk hosptl tofaut na nimekuwa nikipata majibu tofaut tofauti, na dawa mbalimbali ambazo zmekuwa zkinipa nafuu ya muda tu na bdae tatizo kurd,
Nimepiga x-ray ya nyoga na mgongo ya nyonga nikaambiwa hakuna tatxo, mgong nkaambiwa uti wa mgongo umekaza, nikapewa dawa na maxoez clinc nikawa vzr lakin baada ya muda tatizo limerudi,
Mara nyingi maumiv haya naypat kipnd cha ovulation muda mwingin maumiv huendelea mpk mp na hata baada ya. Na mara nyingine naumwa mfululizo hata miez 2, nimeonana na specialist wa wanawake, akanifanyia vpimo nikaambiwa ni hormonal imbalance nikapewa dawa multivitamins (one daily woman) na duphustone nilitumia takrban doz tatu mfululizo nikapata nafuu ambay niliona nmepona lakin baada ya miez miwili tu shida ilirud
Mwenzenu nimechoka, nabeni msaada wenu hasa ushauri nifanyeje?
Dada ,Umezaa ??na Unaumri gani ??.

Kikawaida hii mittelschmerz hudumu ndan ya masaa 24 tuuu sasa hii yako ya kwenda mpaka miezi miwili kidogo utakua na tatizo.

Maumivu yanyonga Mara husababishwa na sababu nying mnooo moja wapo niiyo ya Ovulation .
Lkn nje yahapo zipo sababu nying sanaaa.

Km hujazaa ,,au upo umri wakuanzia 30 , au km unatumia birth control bila shaka huyo hali huwezi kukwepana hayo.

Embu jaribu ...kumeza aspirin ,,wakati wamaumivu koga maji yamoto ,,au kanda izo ngonga kwamaji ya moto,, uwe unajifanyia masaji kwamafuta ya Cinnamon ,kula ndizi asubuh na mboga zamajan usiku ,,,Fanya mazoezi wakati unapokaribia ovulation ,, uwe unalalia tumbo wakati wa maumivu .

Ikishindikana ,,nenda hospital kubwa kucheki TENA .....ikishindikana Zaaa ,,, ikishindikana Mwachie Mungu.
 
Za jion wna jf, mimi ninasumbuliwa na maumivu ya nyonga kwa muda sasa tangu 2011, nimeenda hospital mara nyingi,
M
Nimepima vpmo tofauti ktk hosptl tofaut na nimekuwa nikipata majibu tofaut tofauti, na dawa mbalimbali ambazo zmekuwa zkinipa nafuu ya muda tu na bdae tatizo kurd,
Nimepiga x-ray ya nyoga na mgongo ya nyonga nikaambiwa hakuna tatxo, mgong nkaambiwa uti wa mgongo umekaza, nikapewa dawa na maxoez clinc nikawa vzr lakin baada ya muda tatizo limerudi,
Mara nyingi maumiv haya naypat kipnd cha ovulation muda mwingin maumiv huendelea mpk mp na hata baada ya. Na mara nyingine naumwa mfululizo hata miez 2, nimeonana na specialist wa wanawake, akanifanyia vpimo nikaambiwa ni hormonal imbalance nikapewa dawa multivitamins (one daily woman) na duphustone nilitumia takrban doz tatu mfululizo nikapata nafuu ambay niliona nmepona lakin baada ya miez miwili tu shida ilirud
Mwenzenu nimechoka, nabeni msaada wenu hasa ushauri nifanyeje?
Tuwasiliane Dada, pole
 
Dada ,Umezaa ??na Unaumri gani ??.

Kikawaida hii mittelschmerz hudumu ndan ya masaa 24 tuuu sasa hii yako ya kwenda mpaka miezi miwili kidogo utakua na tatizo.

Maumivu yanyonga Mara husababishwa na sababu nying mnooo moja wapo niiyo ya Ovulation .
Lkn nje yahapo zipo sababu nying sanaaa.

Km hujazaa ,,au upo umri wakuanzia 30 , au km unatumia birth control bila shaka huyo hali huwezi kukwepana hayo.

Embu jaribu ...kumeza aspirin ,,wakati wamaumivu koga maji yamoto ,,au kanda izo ngonga kwamaji ya moto,, uwe unajifanyia masaji kwamafuta ya Cinnamon ,kula ndizi asubuh na mboga zamajan usiku ,,,Fanya mazoezi wakati unapokaribia ovulation ,, uwe unalalia tumbo wakati wa maumivu .

Ikishindikana ,,nenda hospital kubwa kucheki TENA .....ikishindikana Zaaa ,,, ikishindikana Mwachie Mungu.
Asante sana ndg yangu nitaufanyia kaz ushauri wako
 
Dada ,Umezaa ??na Unaumri gani ??.

Kikawaida hii mittelschmerz hudumu ndan ya masaa 24 tuuu sasa hii yako ya kwenda mpaka miezi miwili kidogo utakua na tatizo.

Maumivu yanyonga Mara husababishwa na sababu nying mnooo moja wapo niiyo ya Ovulation .
Lkn nje yahapo zipo sababu nying sanaaa.

Km hujazaa ,,au upo umri wakuanzia 30 , au km unatumia birth control bila shaka huyo hali huwezi kukwepana hayo.

Embu jaribu ...kumeza aspirin ,,wakati wamaumivu koga maji yamoto ,,au kanda izo ngonga kwamaji ya moto,, uwe unajifanyia masaji kwamafuta ya Cinnamon ,kula ndizi asubuh na mboga zamajan usiku ,,,Fanya mazoezi wakati unapokaribia ovulation ,, uwe unalalia tumbo wakati wa maumivu .

Ikishindikana ,,nenda hospital kubwa kucheki TENA .....ikishindikana Zaaa ,,, ikishindikana Mwachie Mungu.
Asante sana ndg yangu nitaufanyia kaz ushauri wako
 
Dada ,Umezaa ??na Unaumri gani ??.

Kikawaida hii mittelschmerz hudumu ndan ya masaa 24 tuuu sasa hii yako ya kwenda mpaka miezi miwili kidogo utakua na tatizo.

Maumivu yanyonga Mara husababishwa na sababu nying mnooo moja wapo niiyo ya Ovulation .
Lkn nje yahapo zipo sababu nying sanaaa.

Km hujazaa ,,au upo umri wakuanzia 30 , au km unatumia birth control bila shaka huyo hali huwezi kukwepana hayo.

Embu jaribu ...kumeza aspirin ,,wakati wamaumivu koga maji yamoto ,,au kanda izo ngonga kwamaji ya moto,, uwe unajifanyia masaji kwamafuta ya Cinnamon ,kula ndizi asubuh na mboga zamajan usiku ,,,Fanya mazoezi wakati unapokaribia ovulation ,, uwe unalalia tumbo wakati wa maumivu .

Ikishindikana ,,nenda hospital kubwa kucheki TENA .....ikishindikana Zaaa ,,, ikishindikana Mwachie Mungu.
Ila samahan hayo mafuta ya cnamonn in yap cyajui nifaham
 
Aiseeeeh, pole sana.

Wajameni, msaidieni huyo mdada .
[HASHTAG]#emmyta[/HASHTAG] , [HASHTAG]#skyecalt[/HASHTAG] , [HASHTAG]#heaven on earth[/HASHTAG] , [HASHTAG]#missnatafuta[/HASHTAG] , [HASHTAG]#miss chaga[/HASHTAG] .
Na wengine wote njoeni wajameni.
 
Back
Top Bottom