plock
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 425
- 425
Nikitumia vyakula vyenye mchanganyiko wa nyanya au maziwa pamoja na ngano napatwa na allerg ya mafua, hata kama mafuta yaliyopikiwa mandazi au chapati yakipikiwa katika mboga nakuwa napatwa na allerg kutokana na mazingira inakuwa vigumu kuepuka kwa mfano ma hotelini.
Ninaombeni ushauri nifanyaje nipone au nipate nafuu.
Ninaombeni ushauri nifanyaje nipone au nipate nafuu.