Mkuu nimecheka naomba tulia usinikumbushe hilo nakesho nina mechi ya kirafikiLabda una nyota ya kukamata LUKU
Poa
Hata usitumie tena ndom piga dry ndo tamHabari za asubuhi wakuu najua humu kuna wataalamu wa aina nyingi hivyo kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo ningeomba ushauri au tiba kabisa maana kila nikitumia kondom(kinga) wakati wa tendo la ndoa hua natokwa na vipele sehemu za siri hivyo naomba msaada nijue kwamba nikwanini nakama kuna kondom zenye madhara hayo je nitumie kondom gani ambazo ninzuri?
Na unaonekana upendi kutumia kondom,mkuu usiwe unatumia condom na usiwe malaya
Mimi sio malaya ila kuna kutunukiwa na siku zote waswahili husema zawadi ni zawadi huwezi kataa zawadi utaitwa mjinga ndo maana naona nitumie kinga nahua natumia mchanganyiko mara NDUME, MSD, 3BOMBA nk hivyo nashindwa kujua nizipi zenye aleji sasa naomba ushauri kwa wale wanaojua mbaya na nzuri ili nijue zipi niache zipi nitumiemkuu usiwe unatumia condom na usiwe malaya
Tatizo langu sio kukosa utamu, tatizo langu ni aleji wakati nikitumia kondom
A na B yote sawa shida yangu ni kwamba kondomu gani hazina aleji yale mafuta yakeKwanini utumie condom kwenye tendo La ndoa?labda kama unafanya ngono ila tendo la ndoa halihitaji condom
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipi nzuriRuff rider zina aleji
Sent from my Android phone
Futa neno tendo la ndoa! Acha zinaa! Tulizana kijanaA na B yote sawa shida yangu ni kwamba kondomu gani hazina aleji yale mafuta yake
Kama natakiwa niache basi nataka kujua nani ataendelea kufanya
Hivi bado kuna watu bado mnatumiaga kondomu tu ...!Habari za asubuhi wakuu najua humu kuna wataalamu wa aina nyingi hivyo kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo ningeomba ushauri au tiba kabisa maana kila nikitumia kondom(kinga) wakati wa tendo la ndoa hua natokwa na vipele sehemu za siri hivyo naomba msaada nijue kwamba nikwanini nakama kuna kondom zenye madhara hayo je nitumie kondom gani ambazo ninzuri?
Wewe ni Ke au MeHabari za asubuhi wakuu najua humu kuna wataalamu wa aina nyingi hivyo kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo ningeomba ushauri au tiba kabisa maana kila nikitumia kondom(kinga) wakati wa tendo la ndoa hua natokwa na vipele sehemu za siri hivyo naomba msaada nijue kwamba nikwanini nakama kuna kondom zenye madhara hayo je nitumie kondom gani ambazo ninzuri?
Ataishije sasa?mkuu usiwe unatumia condom na usiwe malaya