matatizo ya Moyo

pole sana, nenda Muhimbili kwa specialist wa magonjwa ya moyo utapata ushauri zaidi.
 
nilipima ECHO nikaambiwa valve za kuruhusu dam kuingia kwenye moyo ni nene ila zinafanya kaz kawaida napata maumivu sana kenye moyo,kifua kinabana nini chakufanya nisaidieni!!!

Mkuu TIBA na USHAURI mzuri umeuacha huko hospitali/mahali ulikopimwa, kwa nini usimuulize daktari wako?
Au hukuridhika naye, if so then shida uliyoenda nayo ni nini?
-BTW Ulipima wapi?
 
Back
Top Bottom