nilipima ECHO nikaambiwa valve za kuruhusu dam kuingia kwenye moyo ni nene ila zinafanya kaz kawaida napata maumivu sana kenye moyo,kifua kinabana nini chakufanya nisaidieni!!!
Mkuu TIBA na USHAURI mzuri umeuacha huko hospitali/mahali ulikopimwa, kwa nini usimuulize daktari wako?
Au hukuridhika naye, if so then shida uliyoenda nayo ni nini?
-BTW Ulipima wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.