Matatizo ya CHADEMA haya hapa

CCM safii ...haina matatizo kabisa....ccm inajenga nchi...safi sana
 
Mkuu uelewa wako ni mdogo sana hata kuandika hujui.. Hapo lumumba wamekupa bei gani? Acha umbulula.. Kakojoe ukalale... Hapa ni mziki mkubwa...
 
Du! Kweli chadema ni noma!kimewashika mpaka ndani ya matumbo yenu!
 
Vita kawawa na Dada yake Zainabu kawawa..Samweli Sita na Mke wake!
 
hawa member waliojiunga june 2013 si bure , wapo humu kwa kazi maalumu kutoka kitengo maalumu cha watu maalumu wenye maslahi maalumu kwa Taifa hili na kundi fulani maalumu humu Jukwaani. Tuwaogope kama ukoma kwani Tusipoangalia tutakuwa tunacheza ngoma zao maalumu ,kututoa katika mambo muhimu na ya msingi humu.
 
Baadhi ya wajumbe wa kamati kuu walitamka wazi katika vikao vya chama walipokuwa Dodoma katika vikao vyao. Ukitaka chukua, kama hutaki acha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…