TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Kwa mtazamo wangu nimegundua matatizo yetu sisi watanzania ni haya yafuatayo; 1.UZEMBE 2.UBINAFSI 3.UCHOYO 4.WIVU 5.MAJUNGU 6.FITNA 7.ULAFI 8.WOGA 9.UNAFIKI 10.UROHO Ndugu mwaJF UNAWEZA KUONGEZA MATATIZO TULIYO nayo KWA HAPO JUU.Tukumbuke madudu yanayotoke kila mahali katika sekta mbalimbali chanzo ni MATATIZO NILIYO yataja hapo juu