Matarajio ya mzazi anapomsomesha mtoto ni yapi hasa?

lara 1 umezungumza vyema, utafikiri si yule wa kufunguka aka mcharuko tunayemfahamu!
By the way ishu zako na Boss wako zimeishia wapi?!

Nataka nimwamishie kwa bad boy mkata kiu, mcharuko lazima uishe pole pole na kuanza kushinda church kuimba kwaya then nyumban,,,
 
Last edited by a moderator:
yan mi nashangaa kwa kwel..npo chuo wazaz wang wanasema ukimaliza nkipata hakuna kuhama nyumban..wala hawak kuckia naolewa bila kupata kaz ..hv jaman kaz c majariwa so hata nikae miaka20 bila kupata kaz nciolewa ...na matarajio yao ni kwamba nkiolewa ctowalipa fadhira..
ukwel watt wa mkulima tunasomeshwa ili tusaidie familia zetu..tena kwa lazma co hiari...utackia tucnge kusomesha tungekua na nyumba na magar sahv..

Wangu nyumban kusaidia ni muhim kuonesha walifanya cha maana kukupeleka shule, also kama nyumban ni mkoa utakaoanzia kazi ni vizuri kukaa kaa home kama mwaka hivi or 2 years ili kuweka sawa mambo madogo then ndo unaenda kujitegemea, unarekibisha hata house ya wazee, unapaka paka rangi na tiles,kubadilisha bati zilizoisha etc na hata kama kwenu mna uwezo unakuwa unafanya hata vitu vidogo wazee wanavyopenda as to show some love like kulipia dstv,etc

I was luck family nayotoka ni ya maisha ya kati as wanajimudu but baada ya kumaliza chuo na kuanza kazi nilikaa home for a year as kusapoti vitu vidogo dogo, siku moja moja ukirud job unapita ferry unabeba masamak,au kuku nini sokon kumsaidia mama budget ya mboga ili nae ajisikie kweli nimekuza kijana na ameanza kazi, na hata madogo vi shoping,

then after a year unasepa home bila lawama na blessings zote,

Usiharakishe kuhama nyumban kama ni karibu bila strong reasons as ukianza kujitegemea pesa inakuwa ndogo sana kusapoti home kwenu, kaa kaa kwanza nao wale kimshahara chako then unasepa
 
Kama uwezo wako kwa siku unapata zaidi ya milioni moja.Kwani kumpa mama yako milioni moja kuna tatizo gani.Mama hawezi kumdai mwanae milioni moja kama hajui uwezo wake.

Kama ingekuwa hivyo nisingeona tatizo, ila ni tatizo kwa sababu kijana hakuwa na huo uwezo wa kupata zaidi ya milion moja. Nikikutajia mshahara wake ulikuwa bei gani utamuonea huruma. This isnt good tuchukulie hata kama angekuwa anapata zaidi ya 1m, its not fair kumwambia mtoto bila 1 m siondoki!!
 
Ungeendelea tu, huwezi kujua labda ungepata ka-promotion!:redface:
Probably na visafari vya hapa na pale mkiwa naye, na kujikuta unajipatia per diem za bure na raha za bure, LOL!

Hilo nalo neno! Ila kimbembe ni pale tukitibuana!!! Ananipiga pini na steppler! Hata vihela vya tax kutumwa town NO!
 
Mzazi kama huyo mfundishe namna ya kuvua samaki,mfano kiosk,km hajiwezi mwekee na muuzaji. la sivyo uishi kama ulivyo daima,mana ukiingiza tu mtu mwingine itakuwa ni chuki na vita kwake ataonekana ndiye anakula hela ambazo angetumiwa yeye.
 
Jamani nashukuru sana kwa ushauri mnaoendelea kunipatia...najisikia kupata relief kwani kipindi naandika uzi huu nilikuwa stressed sana baada ya kutoelewa demand za mama yangu. Miongoni mwa mambo nitakayo yafanyia kazi ni pamoja na



  • kutafuta fedha kwa ajili ya mtaji wa biashara. Hii ni idea nzuri kwani itakamuingizia mama yangu kipato kwani umri wake ni miaka 45, kwa hiyo bado ana nguvu za kufanya kazi. Lakini sasa je, nikishampatia hiyo hela hataendelea kuniomba hela ya hapa na pale? kwani mama yangu pamoja na kuwa mjasiriamali bado unaweza kuona demand zake ambazo siyo za necessaries... mfano kama kama kumchangia mtu kwenye harusi, nyumba yetu ni imara lakini anataka renovation wakati mimi nafanya kazi on temporary basis


  • kufikiria kiasi cha kumtumia kwa mwezi pamoja na kuzungumza nae kwa upole na hekima
 
Back
Top Bottom