Matapeli wapya mjini 0743340917

Matapeli wapya mjini 0743340917

Walimwibia mdada moja majuzi sh laki 4. Akalia kilio cha mbwa na hakupata hata aliemfutia machozi.... Mtu hata hujashiriki mashindano yoyote unaambiwa umeshinda na unakubali km zuzu
Ukisikia Ubutu wa akili ni aina ya wizi huu
 
Msiwacheke waliotapeliwa, hawa jamaa wanakuwaga wanatumia madawa ya kupumbaza, kama mazingaombwe
 
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917
Kama umeshinda milioni na wanataka laki, si unawaambia wakate laki yao wewe wakutumie laki 9
 
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917

Mwingine huyu,

+15092142532:Your Mobile NO Has Won 1,000,000 Dollars in T.MOBILE PROMO USA.to claim send ur Name,Phone No,Age,Addres,Job,Sex to ROBERT Email: tmbus@outlook.com

alinitumia hiyo sms kwa namba hii +255 628 870 526. Nilitumiwa sms hiyo tarehe 6 December 2016, saa 11h23
 
Wanakupigia simu kwa namba 0743340917 na nyingi nyinginezo wanakwambi umeshinda kitita cha million MOJA, wakaendelea, ili niipate hiyo pesa (1mil) basi nitume sh laki MOJA kwa namba ,0743340917
Dah huu c utapeli sasa mana knowledge inayotumika ni ndogo sana...less than 0..ni sawa na kuomba kwahyo anaetuma katoa msaada
 
Mimwenye waminipigia sim mdaa huu akaniambia nimeshinda shi 250000 kwa sababu natuma miamala malanying namba 0758788274 kuweni makini kipingi hiki.cha sikuku
 
Sasa mtu hapo unatuma laki moja...utasema umetapeliwa?

 
Wajinga hawa kuna wengine wanajiita Tigo Bima. Wanakupigia kukwambia kwamba namba yako imechaguliwa kujiunga kwny huduma ya tigo bima kwa punguzo maalumu hivyo tuma shilingi 9999 au 2200 kwa ajili ya bima.

Nikawaambia nitaenda kwenye ofisi zao kukamilisha huduma hii wakawa wapole na kukata simu....wizi mtupu ni mdada anaongea vizuri anakutaja jina lako sawa sawa kabisa.
Pia walishawai kuniambia huu ujinga..!nikawaambia sitaki Huduma yoyote.
 
Tuliambiwa kusajili line kutaondoa matapeli na wezi wa simu, nashangaa mambo ni tofauti kabisa.
 
Mimi mwenyewe leo wamenipigia wanajifanya wafanyakazi wa voda kuna bonus yangu wanataka wanitumie.

Niliwashtukia waliponiuliza account yangu ina kiasi gani, sasa nikashangaa wao kama ni voda watashinwaje kujua salio langu. Wazi hao kuweni nao makini
 
Back
Top Bottom