Matapeli wa tanzania international university

Matapeli wa tanzania international university

Msibwate tu toeni vigezo hai si kujisevia tu mnavyotaka na kukurupuka Hatuwaeliwi ujue, kama huna vigezo kaa kimya!
 
Mbona pale kimara mwisho cjawahi kuona bango linaloonyesha chuo kiko wapi?
 
Na leo hii tume ya vyuo vikuu TCU imeomba serikali kukifunga hicho chuo.
Nadhani kuna kautapeli flani kanatendeka.
 
Chuo kipo, walifanya hivi wiki mbili kabla ya pasaka, watu wengi walijitokeza na wakalipa hiyo pesa na wakawaita katika interview, uchunguzi wangu unaonesha hakuna hata mmoja aliyeitwa/aliyepewa kazi. sasa hii ni round ya pili....akili ku mkichwa
 
Chuo kipo, walifanya hivi wiki mbili kabla ya pasaka, watu wengi walijitokeza na wakalipa hiyo pesa na wakawaita katika interview, uchunguzi wangu unaonesha hakuna hata mmoja aliyeitwa/aliyepewa kazi. sasa hii ni round ya pili....akili ku mkichwa

TCU imeamuru chuo kifungwe na kisiendelee na udahili wowote kwani hakina cheti cha hithibati na ni matapeli wakubwa sana wamekula hela za ada za wanafunzi tena wameona hazitoshi wakala na za usaili za watu.kweli Tz ni zaidi uijuavyo..:A S shade:
 
kipo ni kizuri sana na chancellor mnzava ni mtu makini tena alisoma na mulugo darasa moja....shime hima tumeni hiyo 20 bana kwani kitu gani
 
kipo ni kizuri sana na chancellor mnzava ni mtu makini tena alisoma na mulugo darasa moja....shime hima tumeni hiyo 20 bana kwani kitu gani
Teh kama kasoma na mlugo utata huo mkuu
 
Duh, jamaa ashapiga bingo yake, akigawana umaskini na policcm, mchezo umeisha hamna kesi, changa la macho @ best. Nchi imefikia pabaya sana/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom