Matapeli hatari, chunga wasikudake

Matapeli hatari, chunga wasikudake

Hao jamaa ni wapuuzi sana. Halafu staili yao ni kama inafanana. Walijaribu kuniingiza mkenge kwa staili kama hii. Nilipostuka ni pale aliyetakiwa kuniletea mzigo kudai kwenye malipo ya 400,000 "kuwatoa" wahasibu ili watoe risiti plain kapungukiwa kama 190,000 kwa sababu alikuwa likizo kwahiyo hayupo vizuri kifedha. Kwahiyo eti nitoe hizo 190,000 halafu tutakatana kwenye pesa ya mzigo!!

Nahisi hao jamaa baada ya kujaribu kunitaperi walikuja kwako maana maelezo yako ni copyright.
 
Njia ya kwanza kabisa ya kuepuka utapeli ni kukariri kichwani mwako kwamba "hakuna fedha inayopatikana kirahisi bila kuitolea jasho". Tamaa ndiyo uponza wengi hadi kutapeliwa na pia huruma iliyopitiliza. Nasema hivi kwa sababu kuna wengine wanaotapeliwa si kwa sababu walikuwa na tamaa ya kupata fedha za haraka haraka ila ni kwa sababu ya kuwa na huruma ya kupitiliza kwa wengine hivyo kufikia kutoa msaada bila kujiridhisha kwanza na uhalali au uhalisia wa shida ya anaehitaji msaada.

isee mkuu umenifunza kitu big up kiongozi
 
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan

mkuu mt.j hii yako ilinikuta na mimi, ila wlibadili kidogo tu, mimi walinambia dawa ya kunyunyiza katika visima vya maji huko ktk migodi serengeti, ili maji yawe salama! tuliposhindwana ni pale nilipowaambia sina laki5 ya kumpa muhasibu anaetaka nimpe hela, anipe risit, tukaanza kutukanana!
 
Nasubiri nimpate aliyetapeliwa maana inaonekana nyote mlikuwa wajanja. Haiwezekani kwani kama hakuna ambao wanaingizwa mkenge wangeacha. Nasubiri sitoki
 
matapeli wako kibao siku hizi wengi wanaingizwa chaka kwa utapeli wa kimtandao siku hizi ukizubaa wanakulamba yaani
sijui hawa wasimamizi wa mitandao tcra wako wapi?
 
Pia wapo ambao wanakupia Kwa njia ya tango au Skype kuwa umeshinda dollar 1000 ktk Kampuni ya coca cola United Kingdom. Na kudai utume particular zako na account no ya bank isiyo na kitu. Ogopa sana.
 
mkuu mt.j hii yako ilinikuta na mimi, ila wlibadili kidogo tu, mimi walinambia dawa ya kunyunyiza katika visima vya maji huko ktk migodi serengeti, ili maji yawe salama! tuliposhindwana ni pale nilipowaambia sina laki5 ya kumpa muhasibu anaetaka nimpe hela, anipe risit, tukaanza kutukanana!

daaa sitawasahau hawa viumbe.ila walinikosa
 
Nahisi hao jamaa baada ya kujaribu kunitaperi walikuja kwako maana maelezo yako ni copyright.
Ila wajanja kiasi. Maelezo yao yanashawishi kiasi fulani na ukichangia na shida za watu na kutamani pesa za chap chap nadhani kuna wanaowapata.
 
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.

Majina yao ni;

David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**

Hizi ni msg zao;


Spear ni
Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.

P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=

Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!

hawa jamaa wamezidi, ukizubaa unaweza kuliwa. mimi pia waliwah kunipigia simu miezi sita ilopita. case ilikua hiyo hiyo ya pipes. jamaa alidai ananifahamu sana na tulivokua tukiongea alinishangaa sana kuona simfahamu/nimemsahau. Alidai yeye ananifahamu sana. s?kutaka kusumbuana nae kuhusu swala la kufahamiana nae. nilijifanya kumfahamu. Alinipa namba ya simu ya mzee ambaye ni dealer wa pipes anayeitwa Mzee Ramadhan mwenye duka la hivo vifaa maeneo ya Nyegezi stand. Akanambia nimpigie simu anipe maelekezo ya namna ya kumsaidia huyo jamaa [tapeli] kununua na kusafirisha hzo pipes. kuna mengi yaliendelea ambayo kwa mtu anayefikiri na kuchambua mambo vizuri atagundua kirahisi mchezo unaoendelea. Nilimkomesha pale nilipomwomba anisaidie vocha na nauli ya kuendea kwa mzee Ramadhani wakati huo nilikua maeneo ya Malimbe. Hakunisumbua tena.
 
Mimi nilishituka mwishoni sana

mkuu kambagasa, mi nilistuka mapema. alinambia kwamba kuna wafanyakazi wenzake wa hyo kampuni sijui ndo Pawaga ya Iringa wako mwanza kwenye semina na wanakaa Malaika Hotel. kwaio ninunue huo mzigo then niwapelekee huko then wao waondoke nao kurudi Iringa. akasema zinahtajika 50 pcs za hydraulic pipes na kila moja inauzwa 150,000/=. kwaio mara 50 ni sh7.5M. ila kwakua ni hela ya kampuni, mimi na yeye tutanua kwa bei mara mbili ya actual price per piece yaani 300,000 kwa kila pc mara 50 nr 15M ambazo nitakabidhiwa mimi na hao jamaa walokuja mwanza kwenye semina then nikalipie kwa mwuzaji. kwaio kuna 7.5m za bwelele. kwakua mi nimepigiwa pande tu aliahd kuniachia 2.5m akasema maisha ni kusaidiana. sasa nikajiuliza maswali mengi nikakosa majibu.
#kwanini asifanye hilo dili na hao wafanyakazi wenzake mpk mimi third part nihusike?
#hv inawezekana kwamba hakuna mfanyakazi hata mmoja kati ya hao wenzie anaejua bei za hzo pipes?
#nilipomwuliza katoa wapi namba yangu ya cm alinambia alikua nayo muda mrefu kwani yeye na mzee wangu wanafahamiana tangu ktambo walipokua wanafanya biashara Morogoro wakat mzee wangu hata huko moro ni mpita njia tu.
nilimkomesha kwa kumwomba nauli ya kufanyia hzo mishe zote akaona nimemshnda. alitoweka mwenyewe.
 
Nasubiri nimpate aliyetapeliwa maana inaonekana nyote mlikuwa wajanja. Haiwezekani kwani kama hakuna ambao wanaingizwa mkenge wangeacha. Nasubiri sitoki

si rahisi kuingia mkenge kama kwelu kukichwa kuko sawa. subiri labda kuna boya alikurupuka akapigwa za uso
 
mi walinipigia wakaniamnia habari za biashara.ya vinyago na wakataka nilipie laki nne ya kusafirisha vinyago vyenye thamani ya milion 10 halafu waulete mzigo kwangu ili mnunuaji aukute kwangu anipe hzo 10 miluon halafu nigawane nao wao wachukue 7 waniachie mimi 3 milion. nikawashtukia na nikawaambia hawawezi kuniibia. Baadaye jamaa aliyejiita dalali akaniambia nimpe namba ya mtu ninayemchukia ili wamtapeli.
 
Nishakumbana nao wakiniingia na dili la dawa za kuzuia dumuzi kwa ajili ya chakula cha wafungwa kambi za wakimbizi (UNHCR) wanaongea kiingereza balaaa!!!!

Milimwambia Nina Lak Mbl Na 94 Nmb Sasa Niko Mbl Na Mjin Na Nataka Kutoa Hla Kamil Naomb Unitmie Elfu 6 Ili Nkitma Nitme Tatu Kamil Kwa Njia Ya Mpesa Maana Kwny Mpesa Nina Elfu 9namia 3 Jamaa Akajikok Alvo Tma Tu Nkajiunga Bado La Wiki Afu Nkamtext Asanteee Kwa Kejel Alinitkana Kwenye Txt Yn Ofisi Nzma Ilikuwa Inafatilia Kwa Makin Tulicheka Sana, Hao Jamaa Wametapel Wat Weng Sana Na Inawezekan Huwa Wanaushrka Na Wat Wa Karbu Wanao Kufaham Maana Wanakujua Jna ,kaz Unayofanya Na Mahala Unapoish
 
matapeli wako kibao siku hizi wengi wanaingizwa chaka kwa utapeli wa kimtandao siku hizi ukizubaa wanakulamba yaani
sijui hawa wasimamizi wa mitandao tcra wako wapi?

bado walikuwa wanarahisisha uchaguzi.. sa sijui wamepoteleamo
 
ningeiona thread hii mapema labda nisingewaza sana
walikuja kwa gia ya kuwa ni ndgu yangu.. jina langu ni gumu sana lakini jamaa akalitaja vzuri sana akasema yeye ni ndugu yangu na alitaja hadi nilipo hapa sijui alijuaje akaanza saundi ooh nenda hospital ya meta kuna dili la wachina tununue mabunda ya neti ndg yangu. nimekuamini na blah blah kibao nikamuhoji wewe unasema ndgu yangu unaitwa nan? akaja kujichanganya kwamba eti tulikutana kwa mtogole wakati mimi hata sijawahi fika huo mtaa.. ndo ikawa pona yangu
 
mi walinipigia wakaniamnia habari za biashara.ya vinyago na wakataka nilipie laki nne ya kusafirisha vinyago vyenye thamani ya milion 10 halafu waulete mzigo kwangu ili mnunuaji aukute kwangu anipe hzo 10 miluon halafu nigawane nao wao wachukue 7 waniachie mimi 3 milion. nikawashtukia na nikawaambia hawawezi kuniibia. Baadaye jamaa aliyejiita dalali akaniambia nimpe namba ya mtu ninayemchukia ili wamtapeli.
Mkuu hiyo sentensi ya mwisho imeniacha hoi!
 
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan

Duuh mi walishanipiga Znzbr na nikawataarifu rafiki zangu wrote baadae wakarudia tena nikapeleka taarifa zote Polisi. Madema znz. Polisi wakasema hawana msaada baadae nilifanikiwa kupata mwasiliano ya Mmoja wao akasema siwezi ua mtandao huo kwani wana watu wengi, na namna tofauti.
 
mi walinipigia wakaniamnia habari za biashara.ya vinyago na wakataka nilipie laki nne ya kusafirisha vinyago vyenye thamani ya milion 10 halafu waulete mzigo kwangu ili mnunuaji aukute kwangu anipe hzo 10 miluon halafu nigawane nao wao wachukue 7 waniachie mimi 3 milion. nikawashtukia na nikawaambia hawawezi kuniibia. Baadaye jamaa aliyejiita dalali akaniambia nimpe namba ya mtu ninayemchukia ili wamtapeli.

Haa haaa haaa...kati ya post zote hii ya kwako kali asee! eti uwape namba ya mtu unayemchukia wamtapeli!?!!?.....haaa haaa
 
Back
Top Bottom