Matapeli hatari, chunga wasikudake

Matapeli hatari, chunga wasikudake

Godee jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,906
Reaction score
2,699
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.

Majina yao ni;

David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**

Hizi ni msg zao;


Spear ni
Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.

P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=

Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!
 
Mkuu mleta hoja mimi sijaelewa vizuri. Yaani wewe ni muuzaji wa spares au? Na kama hawana laki tatu ya kulipia risiti (inauzwa?) wewe umeingiaje au umehusishwa kwa sababu ipi ili kulipia hiyo risiti kwa kuwapelekea hiyo laki tatu? Hebu fafanua vizuri.
 
Mimi nawasaidia kwenda kununua hizo vitu maana wao wapo mkoani so nachitakiwa kufanya ni kulipa laki 3 za kununua risiti ili mzigo uweze kutoka then ukishatoka mi nalipwa million 2
 
Mimi waliniletea huo upuuzi wao, nikawachana hapo hapo!
 
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan
 
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.

Majina yao ni;

David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**

Hizi ni msg zao;


Spear ni
Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.

P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=

Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!

Asante kwa taarifa mmary. Hizo number zao ungeziweka zote bila kuficha tarakimu yoyote ungekuwa umetusaidia zaidi
 
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan


Ha ha ha ha ha umenikumbusha mwaka Jana,jamaa walinipigia simu akijifanya doctor,ulioeleza yote ndio hivyo hivyo wakaniambia inatakiwa vifungio vya huo mzigo so nipige simu kwwny mzigo kuulizia bei,bei aliyoniambia inakaribia laki tisa na elfu 30.nikampigia huyo doctor akaniambia mpatie.nikamwambia poa.nikauchuna yule mwenye mzigo akaniuliza vp vijana waanze kufunga?nikamwambia ndio natuma hela muda si mrefu...baada ya muda yule Dr akanipigia simu akijifanya anaulizia km nimetuma,nikamwambia nimepata laki sita yeye aongezee zilizobaki ili nizitume,akaanza oooh mpesa ipo mbali,nipo kwa meeting,nikamwambia nakusubiri umalize meeting utume hiyo hela...jamaa akapotea jumla....lkn ukweli Kuna post kuhusu huo utapeli niliisoma humu jf ndio ilionipa ujanja,nikasema ngoja niwatapeli wao,bahati yake alishituka.jamaa akikupigia simu utadhani anakujua vzr Sana,anatamka jina laki vzr,kazi yako nk.
 
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.

Majina yao ni;

David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**

Hizi ni msg zao;


Spear ni
Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.

P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=

Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!

Duu hawa jamaa wapo tu bado wana utapeli wa kibwege kweli
 
Ha ha ha ha ha umenikumbusha mwaka Jana,jamaa walinipigia simu akijifanya doctor,ulioeleza yote ndio hivyo hivyo wakaniambia inatakiwa vifungio vya huo mzigo so nipige simu kwwny mzigo kuulizia bei,bei aliyoniambia inakaribia laki tisa na elfu 30.nikampigia huyo doctor akaniambia mpatie.nikamwambia poa.nikauchuna yule mwenye mzigo akaniuliza vp vijana waanze kufunga?nikamwambia ndio natuma hela muda si mrefu...baada ya muda yule Dr akanipigia simu akijifanya anaulizia km nimetuma,nikamwambia nimepata laki sita yeye aongezee zilizobaki ili nizitume,akaanza oooh mpesa ipo mbali,nipo kwa meeting,nikamwambia nakusubiri umalize meeting utume hiyo hela...jamaa akapotea jumla....lkn ukweli Kuna post kuhusu huo utapeli niliisoma humu jf ndio ilionipa ujanja,nikasema ngoja niwatapeli wao,bahati yake alishituka.jamaa akikupigia simu utadhani anakujua vzr Sana,anatamka jina laki vzr,kazi yako nk.

Hapo uliwanyorosha mkuu
 
Hawa ni matapeli ambao wanajaribu kunitapeli muda huu kwa njia ya simu na hapa wananisubiria niwapelekee laki tatu.

Majina yao ni;

David - 07143938**
Huyu ni Mama - 07831945**
Mzee M. wa JKT - Huyu ni mtoaji wa risiti ambazo natakiwa kulipia laki 3 - 07426834**

Hizi ni msg zao;


Spear ni
Hydrolic Pipes za farm truck tractor za HP 150, Oda ni Pc 50. No. ya mzee Michael ni 07426834** mtaje MrKuraya wa Pawaga, receipt: m/s Iringa split peas project.

P.O. Box 478 Iringa. Qty-hydrolic pipe's pc50. 300,000 grand total 15,000,000/=

Yaani wanaagiza mzigo wa Million 15 lakini hawana pesa ya risiti ya laki 3!!
Hao jamaa ni wapuuzi sana. Halafu staili yao ni kama inafanana. Walijaribu kuniingiza mkenge kwa staili kama hii. Nilipostuka ni pale aliyetakiwa kuniletea mzigo kudai kwenye malipo ya 400,000 "kuwatoa" wahasibu ili watoe risiti plain kapungukiwa kama 190,000 kwa sababu alikuwa likizo kwahiyo hayupo vizuri kifedha. Kwahiyo eti nitoe hizo 190,000 halafu tutakatana kwenye pesa ya mzigo!!
 
Hao jamaa ni wapuuzi sana. Halafu staili yao ni kama inafanana. Walijaribu kuniingiza mkenge kwa staili kama hii. Nilipostuka ni pale aliyetakiwa kuniletea mzigo kudai kwenye malipo ya 400,000 "kuwatoa" wahasibu ili watoe risiti plain kapungukiwa kama 190,000 kwa sababu alikuwa likizo kwahiyo hayupo vizuri kifedha. Kwahiyo eti nitoe hizo 190,000 halafu tutakatana kwenye pesa ya mzigo!!

Hapo ndipo wanapokosea. Huwezi ukawa mfanyaniashara mkubwa alafu ukakosa pesa kama hiyo
 
Njia ya kwanza kabisa ya kuepuka utapeli ni kukariri kichwani mwako kwamba "hakuna fedha inayopatikana kirahisi bila kuitolea jasho". Tamaa ndiyo uponza wengi hadi kutapeliwa na pia huruma iliyopitiliza. Nasema hivi kwa sababu kuna wengine wanaotapeliwa si kwa sababu walikuwa na tamaa ya kupata fedha za haraka haraka ila ni kwa sababu ya kuwa na huruma ya kupitiliza kwa wengine hivyo kufikia kutoa msaada bila kujiridhisha kwanza na uhalali au uhalisia wa shida ya anaehitaji msaada.
 
Haaahaaaa wanajiitagaa wahabeshii. Ni vijaana machaliii wanakaaga mahalii ukiwauzia no ya tajir wanakupozaa afuu wanaanzaa kuchekechaa ukizubaa unapigwaa hzo no Kama unazo jarbu kupiga tenaa hazitokaa zipatikanee. Wanalain zinajaa salfet. Niwatuuu wanafahamikaa
 
Haha Hawa Wapo Sana Bora We Wamekwambia Matreta Wengne Wanawadanganya Kuwa Wanasambaza Dawa Za Kumwaglizia Za Mirad Sasa Mtu Walie Kuwa Wanafanya Nae Hayup Wanaomb W Uwe Mbadala Wake Utapata Hela Ya Ugal Kidog Kama Milion 3 Iv ,wanakupa Had Namb Unaongea Na Matapel Wanaojifanya Wazungu Ktoka Kwao Kwamb Wanaulizia Malpo Watayafanya Kwa Njia Ipi Chek Or Casha ?.Hap Kuna Tapel Mmja Anakua Amekupgia Kukwambia Sema N Cash, Badae Wanakwambia Huu Mzgo Utafikia Kwako Sasa Hebu Tma Kias Kidog Vya Vifungashio Tna Wanakwambia Kwa Kingereza Flyght Pakeg Wakat We Huko Mtaan Sijui Wanaletaj Na Ndge Then Wanakwambia Ndan Y Mda Flan Mzgo Utakuwa Umefka Hapo Sasa Kama Mzgo Ni Wa Milion 5 Wanakwambia Utamwambia Mzungu Kuwa Ni Mil9 Hyo Mil 4 Ilyo Ongezeka We Unachukua Robo Tatu Na Watakuwa Wanakutmia Sana , Kaen Mbal Nao Wap Weng Sana Hasa Mikoan

Nishakumbana nao wakiniingia na dili la dawa za kuzuia dumuzi kwa ajili ya chakula cha wafungwa kambi za wakimbizi (UNHCR) wanaongea kiingereza balaaa!!!!
 
Back
Top Bottom