Matangazo ya Dr. Digital (wa Tigo) yananikosha sana

Babu wa Kambo

JF-Expert Member
May 2, 2016
559
808
Japo mimi si mtumiaji wa Tigo ila kiukweli kama zingetolewa Tuzo za Tangazo bora mimi ningependekeza matangazo yote ya huyu jamaa anaewatangazia Tigo kwa sasa anajiita Dr. Digital, jamaa mbunifu sana, na matangazo yake yameenda shule

Tigo huwa wako makini sana kwenye matangazo yao, sema hapa katikati walimpa Joti akaanza vizuri baadae kataka kuwapoteza, ila nadhani sasa wamempata waliyekuwa wanamtafuta, yule jamaa kiukweli ananikosha sana, nakuwa natamani Tangazo lirudiwe rudiwe japo halinihusu

Hongera zako Dr. Digital, angalia tu usije ukajaa sifa ukasahau kazi, unajitahidi kiukweli

1467622814624.jpg
 
Hakuna tangazo la kipuuzi nalo lichukia kama hili la tigo na lile la voda la mpoki..dr digital ana conical flask ya chemistry wapi wapi.. Lile la mpoki anajaribu kuigiza kichaga ila hawezi kabisa ndio anaaribu
Kweli mkuu mm mwenyewe hayo matangazo cyapendagi,,,mm tangazo ninalolipendaga la haki elimu madogo wanadondoka katka desk, na tangazo la nyati cement...
 
Unamaanisha Lile Tanganzo Ambalo Jamaa Anachezesha Macho Kama KAOGE Au Sio!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom