johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,944
- 141,919
Bunge limepitisha sheria mpya ambapo kuanzia sasa mabango na matangazo yote kwa njia ya video ni lazima yapitiwe na bodi ya filamu na kupewa kibali.
Msemaji wa kambi ya upinzani Salome Makamba amepinga utaratibu huo kwa sababu utaleta urasimu usio wa lazima.
Mbunge Mtulia wa CCM ameunga mkono sheria hiyo mpya ila ameonya pasiwepo na tozo wakati wa kuomba kibali hicho.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Msemaji wa kambi ya upinzani Salome Makamba amepinga utaratibu huo kwa sababu utaleta urasimu usio wa lazima.
Mbunge Mtulia wa CCM ameunga mkono sheria hiyo mpya ila ameonya pasiwepo na tozo wakati wa kuomba kibali hicho.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!