Matamshi ya The Economist ni mbinu chafu za kibeberu za kuyumbisha taifa letu na juhudi za Rais wetu mpendwa Daktari John Pombe Magufuli yapuuzwe

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,848
20,697
Kumekuwa na juhudi nyingi zinazofanywa na gazeti la The Economist tangu Rais John Pombe Magufuli aingie madarakani.Hata hivyo kwa anayejua vizuri gazeti la the Economist hawezi kushangazwa kabisa na juhudi hizo za kibeberu za gazeti hili za kijinga.Gazeti hili kwa faida ya wale wasiojua linamilikiwa kwa asili mia hamsini (50%) na mmoja wa wanafamilia wa The Rothschild Family, Jacob Rothschild.Familia hii na familia zingine 12 ndizo zinazoitawala dunia kisiasa na kiuchumi.Net worth ya familia ya Jacob Rothschild inakisiwa kuwa US$500 trillion.Vitega uchumi vya watu hawa matajiri kabisa duniani vinagusa kila nyanja ya maisha ya wanadamu.Kwa wale wasiojua, kwenye IMF na The World Bank wana majority shares, wakiwa nyuma ya pazia la serikali ya Marekani kwa IMF na serikali ya Uingereza kwa World Bank, ingawa superficially it looks as if World Governments own the IMF and The World Bank!Taarifa zilizopo pia ni kwamba wanamiliki Central Banks zote duniani, isipokuwa tatu tu.

Kwa wale wenye inquisitive minds, watakuwa wameshajiuliza, watu hawa wamepataje utajiri huu wa kutisha?Ukweli ni kwamba ndio wanatumia njia sahihi za kibiashara,lakini njia zao nyingi ni ovu kabisa!Zipo taarifa kwamba hata kupotea kwa ndege ya Malaysian Airline Flight MH370 kwa wale wanaokumbuka, ilikuwa vita ya kibiashara dhidi ya washirika wao wa kibiashara.

Itakumbukwa kwamba washirika wao ndio waliosema hawataki tena an African President of the type of Patrice Lumumba,Julius Nyerere and Kwame Nkrumah, ambaye atawabana katika mikakati yao miovu against Africa.Kwa bahati mbaya kwao tunaye a tough President, ambaye anawabana kwenye mikakati yao kisawasawa ya kutuibia resources zetu,kutengeneza human drones au slaves, ambao watatumika kutekeleza mikakati yao ya kidunia bila kuhoji.Ikumbukwe pia kwamba Rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli ameweka brake kwenye uzazi wa mpango, ambao ni mkakati wao muhimu sana katika kutengeneza human drones au watumwa wa kutumika kwenye mikakati yao ya kidunia kama nilivyo sema hapo awali.Kwa upande mwingine pia amewabana kwenye mpango wao wa kupunguza watu duniani ili "waibe vizuri" kwa kutumia pia uzazi wa mpango.Upo mpango wa Eugenia (au Eugenic Programme) unaoendelea kwa wale wanaojua.Huu mpango wamempa Bill Gates ausimamie.Uzazi wa mpango ni sehemu ya mkakati huu.Mpango wa uzazi wa mpango unaua sana akina mama,mayai ambayo hayajakuwa fertilized ya akina mama, vitoto vichanga ambavyo havijazaliwa bado na ambavyo vimeshazaliwa.Very unethical indeed.

Kwa wale wanaodai kwamba Rais analindwa sana,hii ni sababu moja wapo muhinu kwa nini analindwa sana.Navipa hongera sana vyombo vyetu vya usalama kwa kazi yao nzuri ya kumlinda Rais wetu.Naomba ifahamike kwamba mhariri wa jarida la The Economist hajakurupuka kumshambulia na kumpaka matope Rais wetu on his own behalf,ameagizwa na wakubwa zake and is a calculated move.Nimefanya utafiti wa kina jinsi watu kama akina Rothschild walivyopata utajiri wao.They leave no stone unturned in their search for wealth,kwa hiyo ulinzi anaopewa Rais ni sahihi kabisa.
 
SIDHANI KAMA JAMAA WENYE UTAJIRI WA KUTISHA KIASI HICHO WANAWEZA BABAISHWA NA MTU MMOJA TOKA NCHI MASIKINI.
Kama mwanzo ulivyosema wao wameshika kila nyanja basi hata hapa kwetu wameshika pia.Usishangae kuwa huyo unatetea hapa nae yuko chini ya mikakati yao ila wewe unaona anaenda kinyume nao.
 
Umenena vema sana mkuu,lakini ukumbuke tu,kuwa natural resources zetu hawajaacha kutuibia,kama walivyoanza kutuibia kwa Mkapa,Kikwete,na sasa kwa mzee wetu Magufuli,ninachoamini ni kwamba,kama kusingekuwa mamikataba mabovu mabovu,halafu rais Magufuli ndo angekuwa wa kwanza kuingia mikataba hii,naamini tungenufaika sana,tungefunga mikataba yenye tija,kwa sababu pamoja na madhaifu yake machache(ya kibinadamu) lakini Magufuli si rais mpiga dili za kuliumiza taifa!
 
Mleta mada nadhan una mihemko, sina hakika km Mh mpendwa wetu John anaweza kuuliwa kisa tu hayo maandishi, acha ujinga na uoga usio na manufaa, hizo taarifa ziwe za kweli au uongo zisipuuzwe kwa maslahi ya Taifa, penye kurekebishwa parekebishwe nchi isonge mbele, para yako ya mwisho ya hovyo tu, kwan uliambiwa hivyo vyombo havifanyi kazi yake ipasavyo?
 
Kumekuwa na juhudi nyingi zinazofanywa na gazeti la The Economist tangu Rais John Pombe Magufuli aingie madarakani.Hata hivyo kwa anayejua vizuri gazeti la the Economist hawezi kushangazwa kabisa na juhudi hizo za kibeberu za gazeti hili za kijinga.Gazeti hili kwa faida ya wale wasiojua linamilikiwa kwa asili mia hamsini (50%) na mmoja wa wanafamilia wa The Rothschild Family, Jacob Rothschild.Familia hii na familia zingine 12 ndizo zinazoitawala dunia kisiasa na kiuchumi.Net worth ya Jacob Rothschild peke yake inakisiwa kuwa US$500 trillion.Vitega uchumi vya mtu huyu tajiri kabisa duniani vinagusa kila nyanja ya maisha ya wanadamu.Kwa wale wasiojua, kwenye IMF na The World Bank ana majority shares, akiwa nyuma ya pazia la serikali ya Marekani kwa IMF na serikali ya Uingereza kwa World Bank, ingawa superficially it looks as if World Governments own the IMF and The World Bank!Taarifa zilizopo pia ni kwamba anamiliki Central Banks zote duniani, isipokuwa tatu.

Kwa wale wenye inquisitive minds, watakuwa wameshajiuliza, mtu huyu amepataje utajiri huu wa kutisha?Ukweli ni kwamba ndio anatumia njia sahihi za kibiashara,lakini njia zake nyingi ni ovu kabisa!Zipo taarifa kwamba hata kupotea kwa ndege ya Malaysian Airline Flight MH370 kwa wale wanaokumbuka, ilikuwa vita ya kibiashara dhidi ya washirika wake wa kibiashara.

Itakumbukwa kwamba washirika wake ndio waliosema hawataki tena an African President of the type of Nyerere and Kwame Nkrumah, ambaye atawabana katika mikakati yao miovu against Africa.Kwa bahati mbaya kwao tunaye Nyerere mwingine, ambaye anawabana kwenye mikakati yao kisawasawa ya kutuibia resources zetu,kutengeneza human drones au slaves, ambao watatumika kutekeleza mikakati yao ya kidunia bila kuhoji.Ikumbukwe pia kwamba Rais Dr.John Joseph Pombe Magufuli ameweka brake kwenye uzazi wa mpango, ambao ni mkakati wao muhimu sana katika kutengeneza human drones au watumwa wa kutumika kwenye mikakati yao ya kidunia kama nilivyo sema hapo awali.Kwa upande mwingine pia amewabana kwenye mpango wao wa kupunguza watu duniani ili "waibe vizuri" kwa kutumia pia uzazi wa mpango.Upo mpango wa Eugenia (au Eugenic Programme) unaoendelea kwa wale wanaojua.Huu mpango wamempa Bill Gates ausimamie.Uzazi wa mpango ni sehemu ya mkakati huu.
Mpango wa uzazi wa mpango unaua sana akina mama,mayai ambayo hayajakuwa fertilized ya akina mama, vitoto vichanga ambavyo havijazaliwa bado na ambavyo vimeshazaliwa.Very unethical indeed.


Tatizo kubwa walilo nalo akina Rothschild na washirika wake ni kwamba hawajui just how far Magufuli will go and hence the hate.

Kwa kumalizia naomba nitoe angalizo kwa vyombo vyetu vya usalama.Mhariri wa The Economist hajakurupuka kumshambulia na kumpaka matope Rais wetu on his own behalf,ameagizwa na wakubwa zake and is a calculated move.Nimefanya utafiti wa kina jinsi watu kama akina Rothschild walivyopata utajiri wao.They leave no stone unturned in their search for wealth,kwa hiyo ni vema vyombo vyetu vya usalama vikajua kwamba vita imeanza,Rais alindwe kisawa sawa.Nadhani tunamkumbuka Patrice Lumumba,Samora Machel na wengine, waliouwawa kwenye mikono michafu ya hawa watu.Tuwe macho sana,tuilinde Lulu yetu,Dr.John Joseph Pombe Magufuli.[/B]
Pumbavu utalinda drones? mbona mnakuwa msukule nyie bila akili! Ulimwengu wa technologia wana shida ya kumshoot rais kama enzi za miaka ya nyuma? Tumia akili!
Una ushahidi wa hayo unayoyasema? juzi zilikuja habari za vidonge vya kwenye chupa oh, wanatumaliza tusizae, later on TFDA wakatoa sababu ya vidonge??? hivyo (actually si vidonge)...
 
Umetudanganya mkuu,$500 trilion????????Hiyo ni zaidi ya mara 100 ya bajeti ya marekani!!!!!!
Wewe huijui vizuri familia ya The Rothschilds nadhani.Usizungumzie Budget ya Marekani peke yake zungumzia dunia.Federal Reserve,Bank of England na zote zingine za dunia isipokuwa tatu tu nimesema, ni mali yake.Nina hakika ya ninachoo ngelea kwa kuwa nimefanya utafiti.
 
Back
Top Bottom