meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
eti mojawapo ya makubaliano kati ya madaktari na serikali ni ongezeko la call allowance!huu ni uongo mwingine wa Pinda kwa sababu amesahau kiwango hiki alikiweka yeye pale CPL bila kujadiliana na madaktari.
View attachment 57214
ni wakati wa kuwaumbua wasema uongo.
Kwa hiyo mgomo ukopalepale...?
mliongea nini jk ule mgomo wa mwanzo..wekeni hadharani kwanza..
tatizo la jk ni kucheka cheka na nyie eti hat bugando wanagoma
mliongea nini jk ule mgomo wa mwanzo..wekeni hadharani kwanza..
tatizo la jk ni kucheka cheka na nyie eti hat bugando wanagoma
suala la kwa jk ilikuwa ni baada ya kutaka mawaziri watoke ndipo mazungumzo yaendelee. Kilichokubaliwa pale ni mazungumzo yaendelee aafu mawaziri atawawajibisha ila asiwekewe kitanzi shingoni! Sasa inaonekana amepita mlango wa nyuma na kuhujumu mazungumzo kupitia wawakilishi wa serikali kwani jamaa walikuwa na kiburi isivyo kawaida. Kila dai walikuwa wanapanga majibu wanavyotaka wao badala ya kujadiliana.