Haya majina nimeyapa kwenye mtandao kuwa ni top 20 ya matajiri wa Tanzania. Je mali zao wamepata kihalali?
1. Said Bhakhresa 2. Mohamed Dewji 3. Yusuph Manji 4. Reginand Mengi 5. Mh. Mkono 6. Mwanamboka 7. J. Patel 8. Mh. Chenge 9. Mh. Lowasa 10. Mh. M. Shabiy