Voltaire
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,964
- 2,188
Haya mataa mapya hapa njia panda ya Goba, Africana na Mbuyuni naona kama yameongeza unnecessary jam kwa namna niijuavyo njia hii na hali ya jam ilivyo baada ya haya mataa mapya kuwekwa.
Naona kama tatizo limekuwa kubwa kuliko mwanzo, nashauri traffic waongoze magari kwenye hizo junctions coz watu walio kwenye highway (double road) kwenye magari mengi zaidi wanakaa zaidi kwenye jam, setting ya interval haikuzingatia hilo.
Naamini pia kuna wengi humu wanaopitia kero hii humu ndani.
Naona kama tatizo limekuwa kubwa kuliko mwanzo, nashauri traffic waongoze magari kwenye hizo junctions coz watu walio kwenye highway (double road) kwenye magari mengi zaidi wanakaa zaidi kwenye jam, setting ya interval haikuzingatia hilo.
Naamini pia kuna wengi humu wanaopitia kero hii humu ndani.