Maswi nafasi nyingine sekta nyeti

Afande Nyati

JF-Expert Member
Nov 10, 2012
2,385
1,414
Wakati wa saga la Tegeta Escrow alikuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini, panga lilipopita la kuwajibishwa halikumuacha naye alionekana kuwa ni mtuhumiwa.

Lakini baada ya tume iliyoundwa na rais kufanya yake alionekana hana hatia na kupewa kazi nyingine.

Sasa amerudi tena katika sekta kubwa tena muhimu mno kwa nchi yoyote ile.

Naomba kujuzwa wakati wa saga la Tegeta Escrow ali play part gani mpaka kufikia hatua ya kuwa mmoja wa waliowajibishwa, na kwanini tume iliona kwamba hana makosa na serikali kuamua kumpa tena kazi nyingine kabla ya hii ya sasa ya kamishna msaidizi wa TRA??.
 
Last edited by a moderator:
Wakati wa saga la Tegeta Escrow alikuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini, panga lilipopita la kuwajibishwa halikumuacha naye alionekana kuwa ni mtuhumiwa.

Lakini baada ya tume iliyoundwa na rais kufanya yake alionekana hana hatia na kupewa kazi nyingine.

Sasa amerudi tena katika sekta kubwa tena muhimu mno kwa nchi yoyote ile.

Naomba kujuzwa wakati wa saga la Tegeta Escrow ali play part gani mpaka kufikia hatua ya kuwa mmoja wa waliowajibishwa, na kwa nini tume iliona kwamba hana makosa na serikali kuamua kumpa tena kazi nyingine kabla ya hii ya sasa ya kamishna msaidizi wa TRA??.
swali ni rahisi sana ccm ni ile ile, wenyewe kama wenyewe wapinzani mtaisoma no. Huyu amepokea upako mtaka vitu si mbaya tena
 
Wakati wa saga la Tegeta Escrow alikuwa katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini, panga lilipopita la kuwajibishwa halikumuacha naye alionekana kuwa ni mtuhumiwa.

Lakini baada ya tume iliyoundwa na rais kufanya yake alionekana hana hatia na kupewa kazi nyingine.

Sasa amerudi tena katika sekta kubwa tena muhimu mno kwa nchi yoyote ile.

Naomba kujuzwa wakati wa saga la Tegeta Escrow ali play part gani mpaka kufikia hatua ya kuwa mmoja wa waliowajibishwa, na kwa nini tume iliona kwamba hana makosa na serikali kuamua kumpa tena kazi nyingine kabla ya hii ya sasa ya kamishna msaidizi wa TRA??.
Usipotoshe.. andika.vizuri.. maswi ni Kaimu naibu kamishna.. kwa maana anashikilia nafasi wakati nafasi inatafutiwa muda..
 
Usipotoshe.. andika.vizuri.. maswi ni Kaimu naibu kamishna.. kwa maana anashikilia nafasi wakati nafasi inatafutiwa muda..

Sasa naibu c anashikilia nafac na ana perform yale majukumu mpaka atakapopatikana kamishna hata kama ni baada ya miaka mitatu.

Concern yangu haikuwa pengine ni kamishna au naibu ila yuko TRA kwa sasa.
 
Wasomi wengine hawapo kweli hadi tulete watu wenye makandokando? Hapa sijaelewa vyema
 
Mara Bada Ya Prof. Muhongo Kutangazwa Kuwamo Ktk Baraza La Mawaziri Vijana Hawa Waliominika Sana Huko Nyuma Waliibuka Na Kumtetea Huku Mishipa Ikiwatoka Kuwa Muhongo Ni Mtu Safi Huku Zitto Akisahau Ndiye Aliyetuaminisha Kuwa Prof Alikuwa Dalali Ktk Dili La Escrow Na Kwamba Aliruhusu Mitambo Iliyopaswa Kumilikishwa Serikali Ikauzwa IPTL, kwa moyo huo huo ni vema waje pia wamsafishe bw. Eliakim Maswi Aliyeteuliwa Kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA.

Nb: Zitto For PAC Inawezekana
 
Last edited by a moderator:
Kwa haya anayoendelea kuyafanya Mh JPM hasa ili la kuwaibua tena wale waliowajibishwa na bunge ni dhahiri hakuna dhamira ya dhati ya kupambana na ufisadi na ubadhirifu mwingine.

Kutumbua majipu ni slogan tu.
 
Akina zito wanachanganya sana..jana fb kadai alimtabilia filikunjmbe(r.i.p) kwamba atakuwa waziri.. sasa kama alijua hili..kwanini alimdanganya mama wawatu..mama mgwira kugombe wakati alijua hawezi kushinda
 
Akina zito wanachanganya sana..jana fb kadai alimtabilia filikunjmbe(r.i.p) kwamba atakuwa waziri.. sasa kama alijua hili..kwanini alimdanganya mama wawatu..mama mgwira kugombe wakati alijua hawezi kushinda

Ingekuwa Ni Mtaani Zitto Angekuwa Anajulikana Kama Tapeli, Zitto Kwajil Yake Na Huwa Nashangaa Sn Alimuingizaje Mkenge Ph. D Holder Dr Mkumbo Kitila
 
Mara Bada Ya Prof. Muhongo Kutangazwa Kuwamo Ktk Baraza La Mawaziri Vijana Hawa Waliominika Sana Huko Nyuma Waliibuka Na Kumtetea Huku Mishipa Ikiwatoka Kuwa Muhongo Ni Mtu Safi Huku Zitto Akisahau Ndiye Aliyetuaminisha Kuwa Prof Alikuwa Dalali Ktk Dili La Escrow Na Kwamba Aliruhusu Mitambo Iliyopaswa Kumilikishwa Serikali Ikauzwa IPTL, kwa moyo huo huo ni vema waje pia wamsafishe bw. Eliakim Maswi Aliyeteuliwa Kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA.

Nb: Zitto For PAC Inawezekana
hivi ujui kama zitto ndie yuda wa tz?
 
Mwaka 2010 zitto amekiri kuwa ccm walitaka kumuengua.. asiwe mwenyekiti wa pac .. yeye akabidi aongee na jk.. kwa maana hiyo jk ndiye aliye fanikisha yeye kuwa mwenyekiti wa pac..
Sijajua uhusiano wake na JPM ila nakumbuka zitto pamoja na CAG wa sasa waliwahi kuzusha tuhuma kwenye wizara ya ujenzi wakati jpm ni waziri.. tuhuma hizo hazikuzaa matunda baada ya kuzimwa na jpm mwenyewe..
Inavyo onekana kwa sasa bado hana uhakika wa nafasi hiyo .. na jambo lingine posho zote za vikao kwenye mashirika ya umma zimefutwa.. kwa hiyo kama sio hapa kazi tuu kuwa kwenye kamati ya pac hakuna mashiko..
 
Lile deal la Tegeta Escrow ilikuwa mkakati wa vigogo wa CCM kuchota pesa za campaign. Prof Muhongo na Maswi walitumika tu kufanikisha hilo na ndio maana wamerudishwa kuendelea kula bata.

Kumrudisha mtu aliyeamuliwa na Bunge awajibishwe ni dharau kubwa mno. Ngoja tuone hili Bunge la wapenda posho litareact vipi siku Prof Muhongo anasimama kutetea budget ya Wizara wakati capasite chajiz za TANESCO bado zinalipwa
 
ila kwakweli mimi sijapenda hiili swala.Nathani Tanzania ina watu wengine ssana wasomi wangeweza kufanya hizi kazi.Kwani kikwte alimpa ukuu wa wilaya Fulani huko kwao? kulikuwa kuna haja gani tena kumtafuta kwani yeye nani?
mimi nathani uslama wa taifa ndio wenye kufanya mambo kwa kulinda na kubebana.Ushauri huu raisi magufuli atakuwa aliupata kutoka usalama wa taifa.its such non sense kwakweli.
 
Mwaka 2010 zitto amekiri kuwa ccm walitaka kumuengua.. asiwe mwenyekiti wa pac .. yeye akabidi aongee na jk.. kwa maana hiyo jk ndiye aliye fanikisha yeye kuwa mwenyekiti wa pac....

Kuna wakati Zitto huwa anaropoka tu bila kujua kaandika nini.

Kwenye lile andiko amesema pia alijua marehemu Deo (RIP) atakuwa Waziri. Hii ina maana Zitto alikuwa anajua CCM itashinda tuu...yet alizunguka mikoani kumpiga campaign mama Anna (kwa ufadhiri wa CCM...!?)
 
Back
Top Bottom