Rwekaxa Autonomy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 460
- 500
Heshima kwenu WAKUU!!!
Natumaini mmeamka salama kuna mitazamo naamini mim na baadhi ya ndugu zangu humu yanatutesa na yanafikirisha
1: iv n kweli 1+1=2 kwa nini isiwe 11?
2:kuna methali inasema haraka haraka haina haraka..,je kama kuna mgonjwa au ishu yoyote inabidi ifanywe haraka KWA methali hii si inapoteza MAANA?
3:Ni muda gani ambao binadam uwa anaongezeka kimo? Asubuhi,mchana au Usiku na je nkijipima kimo kwa muda utakaosema mda huo nitaona tofauti ya jana na leo ?
4:Tunaambiwa mwaka una siku 365 na robo ...Je iyo robo inatoka wapi!?
Naamini kuna wataalamu umu,wahenga na wasomi wanaweza kutatua maswali baadhi yake.....Naamini hata WAKUU mnayo mengi yanasumbua kichwani hebu YAWEKE HAPA wajuzi watusaidie kutupa majibu.
"JF chimbuko la Elimu"
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Natumaini mmeamka salama kuna mitazamo naamini mim na baadhi ya ndugu zangu humu yanatutesa na yanafikirisha
1: iv n kweli 1+1=2 kwa nini isiwe 11?
2:kuna methali inasema haraka haraka haina haraka..,je kama kuna mgonjwa au ishu yoyote inabidi ifanywe haraka KWA methali hii si inapoteza MAANA?
3:Ni muda gani ambao binadam uwa anaongezeka kimo? Asubuhi,mchana au Usiku na je nkijipima kimo kwa muda utakaosema mda huo nitaona tofauti ya jana na leo ?
4:Tunaambiwa mwaka una siku 365 na robo ...Je iyo robo inatoka wapi!?
Naamini kuna wataalamu umu,wahenga na wasomi wanaweza kutatua maswali baadhi yake.....Naamini hata WAKUU mnayo mengi yanasumbua kichwani hebu YAWEKE HAPA wajuzi watusaidie kutupa majibu.
"JF chimbuko la Elimu"
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app





KWA nn mkuu