chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
Wadau naomba mwenye uzoefu na hz interview n maswal gani ambayo natakiwa ku uliza endapo nitaewa nafasi na pannel nitakapo kuwa kwene interview. plz maswal ambayo ni general
Waulize:mnafanya nini
kukabilina na changamoto ya ushindani ili muendelee kufanya vizuri
kwenye soko?
Huko ndio akili yako ilikolala...hongera.Uliza: hii bodi inasaidiaje kuleta usawa wa kidini na ukabila katka utumishi wa umma???
Pili: Vp ajira za TISS mbona hawashughuliki nazo????
Tatu; Akiwepo binti mzuri, omba namba
@PJN at Mtwara Gas City
Uliza: hii bodi inasaidiaje kuleta usawa wa kidini na ukabila katka utumishi wa umma???
Pili: Vp ajira za TISS mbona hawashughuliki nazo????
Tatu; Akiwepo binti mzuri, omba namba
@PJN at Mtwara Gas City
uliza when the interview
results will be out last washukuru kwa kufanya nao interview and then
usiwe na maswali mengi hadi unaboa
ulizia juu ya training
opportunities zilizopo kuboresha utendaji wa watumishi wake hapa
usiulizie long-term training km degrees bali inhouse training au
outsourced training
correct answer!,uliza when the interview results will be out last washukuru kwa kufanya nao interview and then usiwe na maswali mengi hadi unaboa
TISS ndo secta gan hyo? Hzo 2 za juu nmezpenda.