Maswali magumu kwa Feisal, katika barua yake kwa TFF amejimaliza mwenyewe.

Maswali magumu kwa Feisal

By Ramadhan Elias

Mwananchi Communications Limited

Dar es Salaam. Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana kupita mashauri mbalimbali yaliopelekwa mezani kwao ikiwemo lile la mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' akiomba kuvunja mkataba na klabu yake ya Yanga unaomalizika Mei 30, 2024.

Feisal aliaga rasmi Yanga, Desemba 24 mwaka jana, kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram siku chache baada ya koondoka kambini hapo na mechi yake ya mwisho ndani ya jezi ya Wananchi ilikuwa ya Ligi Kuu dhidi ya KMC iliyomalizika kwa Yanga kushinda 3-0, huku Feisal akifunga bao la tatu, mengine yakifungwa na Fiston Mayele.

Uongozi wa Yanga ulimshitaki Feisal kwenye kamati hiyo, ambayo ilizisikiliza pande zote mbili na kuamua Feisal kubaki Yanga, lakini kiungo huyo na wasimamizi wake wakakata rufaa ambayo pia haikutengua chochote.
Jana jioni, kamati ya Hadhi za Wachezaji iliahirisha shauri hilo hadi Mei 4, kwa ajili ya kulitolea uamuzi baada ya kukusanya vielelezo vya pande zote mbili.

Wakili anayemwakilisha Feitoto, Fatuma Karume alisema jana kuwa hakuna kilichofanyika zaidi ya kuambiwa warudi tarehe iliyopangwa.

Katika barua yake, Feitoto alisema kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake tofauti na Yanga ambao ni waajiri wake, ni klabu gani na imewezaje kuzungumza naye kabla ya mkataba kumalizika au kubakiza miezi sita?

Lakini kama amekiri kwa maandishi yake mwenyewe kuwa kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake, kamati itachukua hatua gani kwa klabu hiyo kwa vile kikanuni ndiyo ipo nyuma ya uamuzi wa Feitoto kuikacha Yanga?

Kama alikuwa haelewani na Yanga kwa muda mrefu (kama alivyoandika katika barua yake) na kupitia manyanyaso, kwanini alikubali kusaini mkataba mrefu huku akijua hana uhusiano mzuri na miamba hiyo?

Na je Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ina mamlaka ya kuvunja mkataba mchezaji kwa sababu nyingine tofauti na zile zinazoainishwa katika muongozo wa hadhi za wachezaji wa kimataifa?

Swali jingine ni kama alikuwa ananyanyaswa kwa muda mrefu, amewahi kuwasilisha malalamiko kwa kamati hiyo na vyombo vingine vya soka ambayo yanaweza kutumika kama uthibitisho wa maombi yake ya kuvunja mkataba?

Kuna mambo mengi ambayo yanahitaji majibu na huenda Feitoto angeweza kuyaangalia kuwa anajiweka hatarini kabla ya kuamua kuandika barua hiyo iliyoaminika kuwa iliandikwa Machi 6, mwaka huu.
Sasa hivi wakala wa feitoto Jasmin anazunguka kwenye vyombo vya habari kutafuta huruma
 
Kinachoendelea ni uhuni tu.

Mchezaji kasema hana furaha, kukosa furaha ni neno la jumla. Kukosa furaha kunaweza kusababishwa na vitu vingi kama masirahi, kutosikilizwa, ahadi hewa, matunzo duni n.k

Kijana kaandika barua anataka kuvunja mkataba ila kwa upande wangu kila siku nasikia hajafata utaratibu, basi tuambiwe ni utaratibu gani huo ambao mawakili wasomi aliowatumia feisali wameshindwa kuujua ila ni yanga na TFF pekeyao ndo wanaujua.

Kila anayesimama mbele kuzungumzia habari za utaratibu hasemi ni taratibu zipi zimekiukwa.
Unaongea upumbavu mwamba!
 
Ikiwa kumbukumbu zangu sipo Sawa ni kwamba huyo wakili wake alifutiwa leseni ya uanasheria hapa Tz bara ,je anakubaliwa vipi na tff kuingia kwenye vikao km mwanasheria au ndo hayo mambo ya kubebanabebana
 
Ikiwa kumbukumbu zangu sipo Sawa ni kwamba huyo wakili wake alifutiwa leseni ya uanasheria hapa Tz bara ,je anakubaliwa vipi na tff kuingia kwenye vikao km mwanasheria au ndo hayo mambo ya kubebanabebana

Tff siyo mahakamani. Ninaweza kukuchukua hata wewe ukaniwakilisha ili mradi nimeamini unauelewa na ninaimani nawe.

Ila pia alisharudishiwa baada mama mwenye kuupiga mwingi kuwepo kitini.
 
Kinachoendelea ni uhuni tu.

Mchezaji kasema hana furaha, kukosa furaha ni neno la jumla. Kukosa furaha kunaweza kusababishwa na vitu vingi kama masirahi, kutosikilizwa, ahadi hewa, matunzo duni n.k

Kijana kaandika barua anataka kuvunja mkataba ila kwa upande wangu kila siku nasikia hajafata utaratibu, basi tuambiwe ni utaratibu gani huo ambao mawakili wasomi aliowatumia feisali wameshindwa kuujua ila ni yanga na TFF pekeyao ndo wanaujua.

Kila anayesimama mbele kuzungumzia habari za utaratibu hasemi ni taratibu zipi zimekiukwa.
Ungekaa kimya tusingejua ni empty set
 
Tusaidie hizo taratibu hapa ambazo mawakili wasomi wameshindwa kuzijua ila wewe na yanga Ndio mnazifahamu
🤣🤣 Sasa mkuu utaratibu ni kwamba mkataba unavunjwa baada ya pande mbili kukaa na kukubaliana. Fei aliitwa jae afanye mazunguzmo na yanga ili mkataba uvunjwe lakn mpka sasa haendi unaategemea nini. Acheni ushabiki kwenyw uhalisia
 
Unazungumzia vipi swala ambalo bado lipo TFF na linasubiria maamuzi kwenye vyombo vya habari, sasa naona wanatafuta Sympathy ila ndio hivyo Sympathy na sheria havikai nyumba moja.
Nimesoma sehemu ya maelezo yake kwenye page za Shaffi, inaonekana yule mama siyo smart kama baadhi ya watanzania wanavyo fikiri. Kama hawaja mnukuu vibaya basi kichwani hana kitu. Anahoji uhalali wa Kamati wakati anajua fika ina approval ya FIFA na ndiyo hiyo hiyo kamati imekuwa ikiamua mashauri mbalimbali.
 
Maswali magumu kwa Feisal

By Ramadhan Elias

Mwananchi Communications Limited

Dar es Salaam. Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana kupita mashauri mbalimbali yaliopelekwa mezani kwao ikiwemo lile la mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' akiomba kuvunja mkataba na klabu yake ya Yanga unaomalizika Mei 30, 2024.

Feisal aliaga rasmi Yanga, Desemba 24 mwaka jana, kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram siku chache baada ya koondoka kambini hapo na mechi yake ya mwisho ndani ya jezi ya Wananchi ilikuwa ya Ligi Kuu dhidi ya KMC iliyomalizika kwa Yanga kushinda 3-0, huku Feisal akifunga bao la tatu, mengine yakifungwa na Fiston Mayele.

Uongozi wa Yanga ulimshitaki Feisal kwenye kamati hiyo, ambayo ilizisikiliza pande zote mbili na kuamua Feisal kubaki Yanga, lakini kiungo huyo na wasimamizi wake wakakata rufaa ambayo pia haikutengua chochote.
Jana jioni, kamati ya Hadhi za Wachezaji iliahirisha shauri hilo hadi Mei 4, kwa ajili ya kulitolea uamuzi baada ya kukusanya vielelezo vya pande zote mbili.

Wakili anayemwakilisha Feitoto, Fatuma Karume alisema jana kuwa hakuna kilichofanyika zaidi ya kuambiwa warudi tarehe iliyopangwa.

Katika barua yake, Feitoto alisema kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake tofauti na Yanga ambao ni waajiri wake, ni klabu gani na imewezaje kuzungumza naye kabla ya mkataba kumalizika au kubakiza miezi sita?

Lakini kama amekiri kwa maandishi yake mwenyewe kuwa kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake, kamati itachukua hatua gani kwa klabu hiyo kwa vile kikanuni ndiyo ipo nyuma ya uamuzi wa Feitoto kuikacha Yanga?

Kama alikuwa haelewani na Yanga kwa muda mrefu (kama alivyoandika katika barua yake) na kupitia manyanyaso, kwanini alikubali kusaini mkataba mrefu huku akijua hana uhusiano mzuri na miamba hiyo?

Na je Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ina mamlaka ya kuvunja mkataba mchezaji kwa sababu nyingine tofauti na zile zinazoainishwa katika muongozo wa hadhi za wachezaji wa kimataifa?

Swali jingine ni kama alikuwa ananyanyaswa kwa muda mrefu, amewahi kuwasilisha malalamiko kwa kamati hiyo na vyombo vingine vya soka ambayo yanaweza kutumika kama uthibitisho wa maombi yake ya kuvunja mkataba?

Kuna mambo mengi ambayo yanahitaji majibu na huenda Feitoto angeweza kuyaangalia kuwa anajiweka hatarini kabla ya kuamua kuandika barua hiyo iliyoaminika kuwa iliandikwa Machi 6, mwaka huu.
Acheni ununda na upumbavu wa kishabiki

Hiyo ni barua yako, ya Ramadhani Elias au Feisal?

Weka kopi ya barua ya Fei hapa tusome wenyewe.
 
Nimesoma sehemu ya maelezo yake kwenye page za Shaffi, inaonekana yule mama siyo smart kama baadhi ya watanzania wanavyo fikiri. Kama hawaja mnukuu vibaya basi kichwani hana kitu. Anahoji uhalali wa Kamati wakati anajua fika ina approval ya FIFA na ndiyo hiyo hiyo kamati imekuwa ikiamua mashauri mbalimbali.
Tafuta mahojioano yake youtube, Icho ni kpande tu mbele kaelezea, Aliomba ufafanuzi Tff wakamfafanulia..
 
Mkataba wa Feitoto unaisha May 2024, timu inayomtaka inaenda mezani Yanga wanalipa 1B wanasepa na dogo kwa Mpalanger!

Shida Iko wapi?
 
Maswali magumu kwa Feisal

By Ramadhan Elias

Mwananchi Communications Limited

Dar es Salaam. Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana kupita mashauri mbalimbali yaliopelekwa mezani kwao ikiwemo lile la mchezaji Feisal Salum 'Fei Toto' akiomba kuvunja mkataba na klabu yake ya Yanga unaomalizika Mei 30, 2024.

Feisal aliaga rasmi Yanga, Desemba 24 mwaka jana, kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram siku chache baada ya koondoka kambini hapo na mechi yake ya mwisho ndani ya jezi ya Wananchi ilikuwa ya Ligi Kuu dhidi ya KMC iliyomalizika kwa Yanga kushinda 3-0, huku Feisal akifunga bao la tatu, mengine yakifungwa na Fiston Mayele.

Uongozi wa Yanga ulimshitaki Feisal kwenye kamati hiyo, ambayo ilizisikiliza pande zote mbili na kuamua Feisal kubaki Yanga, lakini kiungo huyo na wasimamizi wake wakakata rufaa ambayo pia haikutengua chochote.
Jana jioni, kamati ya Hadhi za Wachezaji iliahirisha shauri hilo hadi Mei 4, kwa ajili ya kulitolea uamuzi baada ya kukusanya vielelezo vya pande zote mbili.

Wakili anayemwakilisha Feitoto, Fatuma Karume alisema jana kuwa hakuna kilichofanyika zaidi ya kuambiwa warudi tarehe iliyopangwa.

Katika barua yake, Feitoto alisema kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake tofauti na Yanga ambao ni waajiri wake, ni klabu gani na imewezaje kuzungumza naye kabla ya mkataba kumalizika au kubakiza miezi sita?

Lakini kama amekiri kwa maandishi yake mwenyewe kuwa kuna klabu inampa ushirikiano na kujali maslahi yake, kamati itachukua hatua gani kwa klabu hiyo kwa vile kikanuni ndiyo ipo nyuma ya uamuzi wa Feitoto kuikacha Yanga?

Kama alikuwa haelewani na Yanga kwa muda mrefu (kama alivyoandika katika barua yake) na kupitia manyanyaso, kwanini alikubali kusaini mkataba mrefu huku akijua hana uhusiano mzuri na miamba hiyo?

Na je Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ina mamlaka ya kuvunja mkataba mchezaji kwa sababu nyingine tofauti na zile zinazoainishwa katika muongozo wa hadhi za wachezaji wa kimataifa?

Swali jingine ni kama alikuwa ananyanyaswa kwa muda mrefu, amewahi kuwasilisha malalamiko kwa kamati hiyo na vyombo vingine vya soka ambayo yanaweza kutumika kama uthibitisho wa maombi yake ya kuvunja mkataba?

Kuna mambo mengi ambayo yanahitaji majibu na huenda Feitoto angeweza kuyaangalia kuwa anajiweka hatarini kabla ya kuamua kuandika barua hiyo iliyoaminika kuwa iliandikwa Machi 6, mwaka huu.
Hiyo barua ambayo fei kaandika Kuna klabu inampa ushirikiano ninahitaji kuiona la sivyo hizi ni porojo tu
 
Feisal kapewa options tatu bado ana zunguka kwenye corridor za TFF kupoteza mda
1. Team inayomtaka iende front wamnunue
2. Arudi kundini asubiri mkataba uishe
3 . Avunje mkataba kwa kufuata utaratibu.
Amechagua kupoteza mda lini TFF walipata mamlaka ya kuvunja mkataba ambao hauna mgogoro?
Kwani kuvunja mkataba kwa utaratibu si kufata mkataba unavyosema? Alipe signing fee na mishahara ya miezi mi3, na hivi kafanya sasa yanga inataka utaratibu upi mwingine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom