Maswali magumu kujibiwa na wanaUKAWA!

Maswali magumu kujibiwa na wanaUKAWA!

rubibiman

Senior Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
111
Reaction score
44
1.Je ukawa imesajiliwa kama chama au kitu
gani?

2.Je ikitokea ukawa ikashinda nafasi ya
Urais,Rais atakuwa wa ukawa au wa chama
kilichoshinda?

3.Naomba kujua nafasi ya NLD ndani ya
ukawa,Je itasimamisha wabunge maeneo gani
inapokubalika?

NB

Kama huna cha kucomment samahani pita kimya
lugha za matusi sihitaji
Ni mimi mpiga kura huru asiyekuwa na chama!
 
Mmiliki wa chadema kwa sasa ni Lowassa.so kila kitu kitakuwa chini ya chadema
 
Ukawa kupitia Emmanuel Makaidi wamedai kuwa Lowassa si Fisadi kwa kuwa hajashtakiwa na kukutwa na Hatia Mahakamani, wamejifunga wenyewe hili goli maana itawabidi kila wataemwita Mwizi waulizwe je kapatikana na Hatia?. kiukweli Matokeo ya Uchaguzi huu ni kuwa Mafisadi wameshinda na Wananchi wameshindwa. Ikishinda CCM wameshinda Mafisadi, wakishinda wana Mtandao kupitia Ukawa pia wameshinda Mafisadi. Poleni wanyonge kuporwa Jahazi lenu la Ukombozi
 
ImageUploadedByJamiiForums1438017866.652887.jpg
Alishatubu na kuokoka
 
Ukawa kupitia Emmanuel Makaidi wamedai kuwa Lowassa si Fisadi kwa kuwa hajashtakiwa na kukutwa na Hatia Mahakamani, wamejifunga wenyewe hili goli maana itawabidi kila wataemwita Mwizi waulizwe je kapatikana na Hatia?. kiukweli Matokeo ya Uchaguzi huu ni kuwa Mafisadi wameshinda na Wananchi wameshindwa. Ikishinda CCM wameshinda Mafisadi, wakishinda wana Mtandao kupitia Ukawa pia wameshinda Mafisadi. Poleni wanyonge kuporwa Jahazi lenu la Ukombozi
Hapa Dr Slaa inabidi atafute pa kujificha. Ile orodha yake ya mafisadi ina nafasi gani kutokana na maelezo ya Makaidi? Haya yalikuwa maswali ya kimtego mno. Walijifanya wanamsemea Lowasa
 
1. Ukawa ni ushirikiano wa kati ya vyama na hakuna sheria inayokataza..

2. Ukawa ikishinda raisi atakuwa wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania..

3. NLD ni sehemu ya ukawa kwa hiyo mchakato utakapokamilika utasikia wao wamesimamisha mgombea wapi..
 
Hapa Dr Slaa inabidi atafute pa kujificha. Ile orodha yake ya mafisadi ina nafasi gani kutokana na maelezo ya Makaidi? Haya yalikuwa maswali ya kimtego mno. Walijifanya wanamsemea Lowasa

kwan mramba hakukutwa na hatia?
 
Hapa Dr Slaa inabidi atafute pa kujificha. Ile orodha yake ya mafisadi ina nafasi gani kutokana na maelezo ya Makaidi? Haya yalikuwa maswali ya kimtego mno. Walijifanya wanamsemea Lowasa

Aisee Mwaka huu wanasiasa wana wakati Mgumu sana kuchagua Jahazi bora la kuwafikisha Ufukweni salama maana Bahari imechafuka sana na weledi wa Mwanasiasa mmoja mmoja ndo unahitajika. ZITTO aliandika juzi kuwa Wiki huu kutatokea Mabadiliko makubwa ya kisiasa yetu Macho. Zitto itabidi achague Kambi maana marafiki zake akina Rostam wamejiunga na Maadui zake!
 
1.Je ukawa imesajiliwa kama chama au kitu
gani?

2.Je ikitokea ukawa ikashinda nafasi ya
Urais,Rais atakuwa wa ukawa au wa chama
kilichoshinda?

3.Naomba kujua nafasi ya NLD ndani ya
ukawa,Je itasimamisha wabunge maeneo gani
inapokubalika?

NB

Kama huna cha kucomment samahani pita kimya
lugha za matusi sihitaji
Ni mimi mpiga kura huru asiyekuwa na chama!



Mkuu upo sahihi 100% na kama kweli upinzani wa Tanzania ndiyo uko hivi kama Kinyonga na kuamua tena bila aibu kula MATAPISHI yao aliyetulaani kwa kuwa MAMBUMBUMBU hakukosea.
 
1.Je ukawa imesajiliwa kama chama au kitu
gani?

2.Je ikitokea ukawa ikashinda nafasi ya
Urais,Rais atakuwa wa ukawa au wa chama
kilichoshinda?

3.Naomba kujua nafasi ya NLD ndani ya
ukawa,Je itasimamisha wabunge maeneo gani
inapokubalika?

NB

Kama huna cha kucomment samahani pita kimya
lugha za matusi sihitaji
Ni mimi mpiga kura huru asiyekuwa na chama!

Baadhi ya maswali ukifuatilia tu siasa utayajibu(doesn't need mtu kuwa mwana UKAWA)
Back to the topic.


1. UKAWA ni muunganiko/muungano wa vyama vya Upinzani(si vyote) , na hakijasajiliwa kama chama.

2. Kwani katika Uchaguzi mkuu tunamtafuta Rais wa Tanzania au Rais wa vyama? So definitely atakuwa wa Tanzania aliyechaguliwa na watanzania wengi(Wapinzani).

3. NLD ni sehemu ya UKAWA, Hivyo lengo kuu ni kuuondoa utawala wa CCM kwa kumpitisha mgombea wa Upinzani anayekubalika zaidi sehemu mahalia, hivyo kama atakuwa wa NLD atapitishwa kama hatakuwa wa NLD na wanaNLD wapo kura zitam_support huyo mwana UKAWA mwingine.
 
Aisee sasa ndiyo natambua usemi wa SIASA NI MCHEZO MCHAFU.kwa jinsi mchakato unavyoenda duuh
Watanzania tunapaswa kuwa makini na makocha wa kuchezea akili.
Iko kila dalili ya kupewa kila aina ya udanganyifu

Utasikia tunatakiwa kubadili mfumo ndani ya UKAWA mmmm inaleta kigugumizi aiseee
1:kila chama kinacho unda ukawa kina sera zake na kuna jinsi wanavyoamini.
2:kwa leo hiii wanao famya maamuzi ni viongozi wa vyama cjasikia wanachama wao wakipigia kura maamuzi wanayoyaamua...kwakusingizia wanachama wanatuamini kwa kila kitu.
3😱ky ni sawa wanacheza mchezo wa namba kujificha chini ya UKAWA lakini kiuharisiaaa hapo nmchezo tu wa maigizo tu wana tuchezeaaa.
 

Attachments

  • 1438029454676.jpg
    1438029454676.jpg
    27.9 KB · Views: 156
1.Je ukawa imesajiliwa kama chama au kitu
gani?

2.Je ikitokea ukawa ikashinda nafasi ya
Urais,Rais atakuwa wa ukawa au wa chama
kilichoshinda?

3.Naomba kujua nafasi ya NLD ndani ya
ukawa,Je itasimamisha wabunge maeneo gani
inapokubalika?

NB

Kama huna cha kucomment samahani pita kimya
lugha za matusi sihitaji
Ni mimi mpiga kura huru asiyekuwa na chama!
Kazi kweli kweli! Maswali magumu yako wapi?
 
Back
Top Bottom