Maswali kwa Mh. Magufuli, et al:

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Wewe kama waziri wa ujenzi umesimama mbele ya wana Igunga kumnadi mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM, na kuahidi kutenga bajeti maalum kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mbutu iwapo watamchagua Dr. Dalaly Kafumu...! Maswali yangu ni:

  1. Je, iwapo wana Igunga wakaamua kumchagua mgombea wa CUF, CHADEMA, au chama kingine chochote, hilo daraja halitajengwa?
  2. Je, kama watanzania wote tulishuhudia bajeti nzima ya serikali; ikiwepo ya wizara ya ujenzi, ikipitishwa na bunge kwa upungufu, hadi kubatizwa kwa jina la "kasungura kadogo", wewe hiyo bajeti utaitoa wapi?
  3. Kama mojawapo ya kazi za bunge letu ni kujadili, kupitisha na kuidhinisha bajeti ya taifa letu, hiyo bajeti yako mwenyewe itajadiliwa, kupitishwa, na kuidhinishwa na nani, lini na wapi?
  4. Kama umeahidi kuwa daraja litajengwa, je ni lini hasa daraja hilo litakuwa tayari, na unawashauri nini wana Igunga iwapo itafika muda huo bila daraja hilo?
Nawasilisha...!
 
Wewe kama waziri wa ujenzi umesimama mbele ya wana Igunga kumnadi mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM, na kuahidi kutenga bajeti maalum kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mbutu iwapo watamchagua Dr. Dalaly Kafumu...! Maswali yangu ni:
  1. Je, iwapo wana Igunga wakaamua kumchagua mgombea wa CUF, CHADEMA, au chama kingine chochote, hilo daraja halitajengwa?
  2. Je, kama watanzania wote tulishuhudia bajeti nzima ya serikali; ikiwepo ya wizara ya ujenzi, ikipitishwa na bunge kwa upungufu, hadi kubatizwa kwa jina la "kasungura kadogo", wewe hiyo bajeti utaitoa wapi?
  3. Kama mojawapo ya kazi za bunge letu ni kujadili, kupitisha na kuidhinisha bajeti ya taifa letu, hiyo bajeti yako mwenyewe itajadiliwa, kupitishwa, na kuidhinishwa na nani, lini na wapi?
  4. Kama umeahidi kuwa daraja litajengwa, je ni lini hasa daraja hilo litakuwa tayari, na unawashauri nini wana Igunga iwapo itafika muda huo bila daraja hilo?
Nawasilisha...!


ccm ndo Serikali full stop.
 
Maneno ya magufuli ni amewafanya wana Igunga maamuma kweli,kwamba hawawezi/hawajui hayo yote. Kimsingi ni alikuwa anawadanganya tu, ANATAKA KUSEMA FUNGU KWA AJILI YA DARAJA LITAPATIKANA IKIWA TU WATACHAGUA CCM
 
ccm ndo Serikali full stop.
Kwa hiyo mkuu wana Igunga wasipoichagua CCM hatapata hilo daraja? Kwa hiyo waziri wa CCM ni waziri katika majimbo yaliyochukuliwa na CCM tu?
Je, hii tunaweza kusema ni rushwa, kutokujua maadili ya kazi, upendeleo, au ni ubabe tu?
 
Magufuli anazidi kutufunulia ukola wa CCM. Kwamba wamefika mwisho hawawezi kufikiri zaidi ya kutoa ahadi za uwongo hambazo kama tume ingekuwa huru , Magufuli alitakiwa ashitakiwe kwa kuvunja kwa kuwanagua watu wasio penda CCM.
 
Kwa hiyo mkuu wana Igunga wasipoichagua CCM hatapata hilo daraja? Kwa hiyo waziri wa CCM ni waziri katika majimbo yaliyochukuliwa na CCM tu?
Je, hii tunaweza kusema ni rushwa, kutokujua maadili ya kazi, upendeleo, au ni ubabe tu?
Nilikua namuona magufuli ni mtu mchapakazi,mwenye uchungu na nchi etc,kumbe nae stupid hivyo...!
 
Ni kweli kabisa kuwa hata uwe msomi vipi ukiwa CCM lazima akili zihamie masaburini, yaani Magufuli na usomi wake naye ameamua kuwa ze komedi.
 
Wewe kama waziri wa ujenzi umesimama mbele ya wana Igunga kumnadi mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM, na kuahidi kutenga bajeti maalum kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mbutu iwapo watamchagua Dr. Dalaly Kafumu...! Maswali yangu ni:
  1. Je, iwapo wana Igunga wakaamua kumchagua mgombea wa CUF, CHADEMA, au chama kingine chochote, hilo daraja halitajengwa?
  2. Je, kama watanzania wote tulishuhudia bajeti nzima ya serikali; ikiwepo ya wizara ya ujenzi, ikipitishwa na bunge kwa upungufu, hadi kubatizwa kwa jina la "kasungura kadogo", wewe hiyo bajeti utaitoa wapi?
  3. Kama mojawapo ya kazi za bunge letu ni kujadili, kupitisha na kuidhinisha bajeti ya taifa letu, hiyo bajeti yako mwenyewe itajadiliwa, kupitishwa, na kuidhinishwa na nani, lini na wapi?
  4. Kama umeahidi kuwa daraja litajengwa, je ni lini hasa daraja hilo litakuwa tayari, na unawashauri nini wana Igunga iwapo itafika muda huo bila daraja hilo?
Nawasilisha...!
Zaidi ya haya, huyu ni waziri aliyetamka hadharani kuwa Lipumba alivunja sheria ya nchi bila kuchukua hatua yeyote..... je tunahitaji viongozi kama hawa?
 
Wewe kama waziri wa ujenzi umesimama mbele ya wana Igunga kumnadi mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM, na kuahidi kutenga bajeti maalum kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mbutu iwapo watamchagua Dr. Dalaly Kafumu...! Maswali yangu ni:

  1. Je, iwapo wana Igunga wakaamua kumchagua mgombea wa CUF, CHADEMA, au chama kingine chochote, hilo daraja halitajengwa?
  2. Je, kama watanzania wote tulishuhudia bajeti nzima ya serikali; ikiwepo ya wizara ya ujenzi, ikipitishwa na bunge kwa upungufu, hadi kubatizwa kwa jina la "kasungura kadogo", wewe hiyo bajeti utaitoa wapi?
  3. Kama mojawapo ya kazi za bunge letu ni kujadili, kupitisha na kuidhinisha bajeti ya taifa letu, hiyo bajeti yako mwenyewe itajadiliwa, kupitishwa, na kuidhinishwa na nani, lini na wapi?
  4. Kama umeahidi kuwa daraja litajengwa, je ni lini hasa daraja hilo litakuwa tayari, na unawashauri nini wana Igunga iwapo itafika muda huo bila daraja hilo?
Nawasilisha...!

Maswali mazuri sana maana umeyahusisha moja kwa moja na uchaguzi wa igunga isipokuwa la mwisho si la muhimu sana kwa wakati huu
 
Katika viongozi wa nchi hii ambao nilikuwa nawaamini mmoja wapo alikuwa ni Magufuri,lakini kwa haya aliyosema Igunga ya Punda wa Prof. Lipumba na Ujenzi wa daraja kutoka katika bajeti ya serikali ikiwa ni kodi za wana CDM,CUF,CCM,NCCR n.k amenidhoofisha sana,
yaani mtu unayemuamini akiongea vitu vya kipuuzi na kipumbavu namna ile hadharani.........aaaagh!.......
..ila nashukuru kwa kutujuza kuwa ndani ya
CCM na serikali yake hakuna clitical thinker na hii itatusababisha tuendelee kuitwa masikini mpaka kiama cha dunia labda CCM wang'olewe madarakani.
Na kwa jinsi hii,nawashauri CHADEMA wajipange vizuri kuwaelimisha wanawake,wanakijiji,wanaume na wasomi wachache ambao bado wana imani na magamba wabadili msimamo wao ili TZ tupate kupona.
 
Hapo ndo tunatakiwa kujua kwamba tunahitaji "fresh blood" na "clear and unpoluted minds" kuleta mabadiliko hapa Tanzania.
Kuna baadhi yetu tulianza kushauri Magufuri ahame ccm na kuhamia upinzani baada ya kushushuliwa na mshuwa kwenye sakata la bomoabomoa. Ukijaribu kufuatilia kwa karibu utagundua kwamba viongozi wengi "waliosimama" kwenye upinzani ni wale "fresh blood" na wachache ambao hawajawahi kushika nyadhifa kubwa ccm.
Kinachotakiwa ili kuleta maendeleo hapa nchini ni kuiondoa ccm na kutoruhusu hata mmoja kuhusika kuiendesha nchi hii. Wote "wameoza" Hii inadhihirisha na kauli zinazotoka kwa baadhi ya wachache tunaodhani wako ccm kimakosa lakini kumbe nao hamnazo!
Haya shime vijana wenzangu tusaidie kufikisha ujumbe kwa kutoa elimu ya uraia kwa vijana wenzetu ili kuleta mabadiliko ktk nchi yetu. We have nowhere to go! This is our home and we have no single option than fighting for the change!


Katika viongozi wa nchi hii ambao nilikuwa nawaamini mmoja wapo alikuwa ni Magufuri,lakini kwa haya aliyosema Igunga ya Punda wa Prof. Lipumba na Ujenzi wa daraja kutoka katika bajeti ya serikali ikiwa ni kodi za wana CDM,CUF,CCM,NCCR n.k amenidhoofisha sana,
yaani mtu unayemuamini akiongea vitu vya kipuuzi na kipumbavu namna ile hadharani.........aaaagh!.......
..ila nashukuru kwa kutujuza kuwa ndani ya
CCM na serikali yake hakuna clitical thinker na hii itatusababisha tuendelee kuitwa masikini mpaka kiama cha dunia labda CCM wang'olewe madarakani.
Na kwa jinsi hii,nawashauri CHADEMA wajipange vizuri kuwaelimisha wanawake,wanakijiji,wanaume na wasomi wachache ambao bado wana imani na magamba wabadili msimamo wao ili TZ tupate kupona.
 
Watanzania wa leo ni kizazi cha sidanganyiki. JPM anatangaza rushwa ya wazi, NEC kimya, Rage anapunga bastola mkutanoni as if anahutubia kikosi cha jeshi au polisi anapigwa fine ya laki!
 
Nilishaesema Jamnvini dhuluma hizi,ufisadi huu,uonevu huu na yote wanayoyafanya ilishageuka laana kwa hawa wana CCM-Magamba.na bado mtatendelea kuyaona mengi,walishakosa uwezo wa kufikiria na kutafakari jambo.
Tushikamane tuyavue magamba haya.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom