Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,275
Hivi ni kweli wachawi wanaruka usiku na ungo?
Na kama wanaruka, nani aliwahi kuthibitisha kwa macho yake? (naked eyes)
Na wanasayansi mnazungumziaje suala hili la wachawi kuruka na ungo? Mnaliamini?
Teknolojia ya wireless ilitoka wapi? Idea yake....!??? Au ndio mliipata huku kupitia uchawi? Mtu yupo Kihonda Morogoro anamroga mtu yupo Masaki Dar es salaam
Au wachawi nao wanaminara ili kurusha mawimbi?
Nawasilisha!!!!!
Na kama wanaruka, nani aliwahi kuthibitisha kwa macho yake? (naked eyes)
Na wanasayansi mnazungumziaje suala hili la wachawi kuruka na ungo? Mnaliamini?
Teknolojia ya wireless ilitoka wapi? Idea yake....!??? Au ndio mliipata huku kupitia uchawi? Mtu yupo Kihonda Morogoro anamroga mtu yupo Masaki Dar es salaam
Au wachawi nao wanaminara ili kurusha mawimbi?
Nawasilisha!!!!!



