Tripp
JF-Expert Member
- Feb 2, 2018
- 912
- 1,572
Nikiwa mbobezi katika masuala ya simu hasa Android na kompyuta nakaribisha maswali kuhusiana na matatizo hasa ya software tu na ushauri wa App muhimu kuwa nazo kwenye simu.
Je, simu yako ina nafasi ndogo?
Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele?
NAKARIBISHA MASWALI........
Je, simu yako ina nafasi ndogo?
Je unaitaji kuhifadhi mafaili yako milele?
NAKARIBISHA MASWALI........