Maswali fikirishi kuhusu shambulio la Mbowe

Nov 27, 2019
35
145
1. Kwanini Mbowe ameshambuliwa saa chache tu baada ya Lissu kutangaza nia ya kugombea urais? kwamba Timu Lissu wanaamini Mbowe ni kikwazo cha kupata nafasi ya kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi Mkuu.

2. Wakati Mbowe anashambuliwa walinzi wake binafsi wa CHADEMA ukiacha wa Serikali ambao imeelezwa waliondolewa kwa sababu ya COVID19 walikuwa wapi?

3. Je, tukio hilo ni muendelezo wa unaodaiwa mkakati wa Chama hicho kutafta kura za huruma ktoka kwa wananchi kuelekea uchaguzi mkuu?

4. Je, shambulio hilo ni kisasi cha washindani wa Kibiashara wa Mbowe.Ikumbukwe Mbowe kando na Kujishughulisha na siasa ni mfanyabiashara huenda kuna watu aliwadhulumu?

5. Tukio hilo ni Kisasi cha wivu wa mapenzi? itakumbukwa Mbowe amekuwa akituhumiwa kwa rushwa za ngono katika kupitisha majina ya wabunge wa viti maalum, ni kweli sasa waume wa wabunge hao wameamua kumuadabisha Mbowe?

Tujadili tukio hilo bila mihemkop ya kisiasa wala Itikadi za vyama vya siasa.



 
Hebu tuletee na maswali juu ya kushambuliwa;

- Mawazo
- Lissu

na wengine;

Halafu ukimaliza hapo; utuletee na maswali kwanini CCM wao huwa hawashambuliwi, hapo hoja yako ndio itakuwa na mashiko zaidi.

Kwasababu ninaamini kabisa; hata CCM kuna wafanyabiashara, wapendanao, makundi ....

Halafu kiongozi yupi wa CDM aliwahi kutangaza wanatafuta kura za huruma? usituletee ndoto zako hapa, hili sio jukwaa la ndoto.
 
1. Kwanini Mbowe ameshambuliwa saa chache tu baada ya Lissu kutangaza nia ya kugombea urais? kwamba Timu Lissu wanaamini Mbowe ni kikwazo cha kupata nafasi ya kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi Mkuu.

2. Wakati Mbowe anashambuliwa walinzi wake binafsi wa CHADEMA ukiacha wa Serikali ambao imeelezwa waliondolewa kwa sababu ya COVID19 walikuwa wapi?

3. Je, tukio hilo ni muendelezo wa unaodaiwa mkakati wa Chama hicho kutafta kura za huruma ktoka kwa wananchi kuelekea uchaguzi mkuu?

4. Je, shambulio hilo ni kisasi cha washindani wa Kibiashara wa Mbowe.Ikumbukwe Mbowe kando na Kujishughulisha na siasa ni mfanyabiashara huenda kuna watu aliwadhulumu?

5. Tukio hilo ni Kisasi cha wivu wa mapenzi? itakumbukwa Mbowe amekuwa akituhumiwa kwa rushwa za ngono katika kupitisha majina ya wabunge wa viti maalum, ni kweli sasa waume wa wabunge hao wameamua kumuadabisha Mbowe?

Tujadili tukio hilo bila mihemkop ya kisiasa wala Itikadi za vyama vya siasa.



Acha bangi.
Haya ndiyo maswali fikirishi ?
 
Asee!

Watu kama wewe ndio taifa limewaamnini kama think tank kweli??!!

Ole wangu nchi yangu Tanzania
 
Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao
 
Mkuu safi sana umetoa maswali magumu sana japo wengi naona wanaishia kukushambulia bila haya kujibu maswali yako

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Nikuulize swali langu moja tu;

Kwanini kila mara wanaoshambuliwa ni viongozi wa upinzani pekee? au sababu wao ndio wafanyabiashara, wapenda wanawake, etc, huko CCM hakuna wafanyabiashara au wapenda wanawake?! kumbe mnamaanisha kwamba CCM wanachama wake na viongozi ni mawe, coz hawana hisia wala hawasogei.

la nyongeza;

Kwanini polisi huwa hawafanyi uchunguzi makini utakaopelekea kuwakamata watuhumiwa na hatimaye kuwafikisha mahakamani? kwanini uchunguzi mara nyingi huishia hewani?
 
Back
Top Bottom