Tatizo Hakuna SWALI La Msingi Hapo!! Hivi MAISHA Ya Mtanzania Ni Hayo Mafanikio Tu!!?? Au Ya Hapo!!!?? Kama Kumejengwa Barabara Nchi Nzima, Je, Mtanzania Wa Kigoma, Rukwa, Tabora, Kagera, Mara, Mwanza, S/nga N.k. Anamudu Kusafiri Au Kusafirisha Mazao Yake Kwa Njia Hiyo!!!?? Ambayo Gharama Kubwa Mno Kwake!! Ukilinganisha Na Treni!!!?? Maji S/nga Na Kahama!! Je, Isaka, Tinde, Geita Na Tanzania Yote Kuna Maji!!??? Ikiwa Hapa Dar Yenye Kila Kitu Maji Safi Na Salama Hakuna, WATU Tunakunywa Maji Machafu!! Je, Hali Ikoje Tunduru, Masasi, Urambo, Skonge, Busega, Ngudu, Nzega Igunga, Manyoni, Itigi, Singida!! Kila Kona Ni Kilio! Je, Hiyo Miaka Ya CCM 38 Ndio Tumefikia Hapa?? Hata Huduma Muhimu Tu, Zimewashinda!!!?? Kabla Ya UHURU Elimu Bora Ilikuwa Bure, Huduma Bora Za Afya Bure, Maji Safi Na Salama Bure!! Na J.K. NYERERE Alizikuta Hivyo Akaendelea Nazo!! Shida Ikaanzia Miaka Ya 80!! Sasa Kama Kabla Ya UHURU Hali Nzuri Ktk Huduma Za Kijamii, Na IMEKUWA HOVYO Miaka 20 BAADA Ya Kupata UHURU!!! Tunaenda Mbele, Tumesimama Au Tunarudi Nyuma!!!!!?? Ukilinganisha Hivi Sasa Tunatumia Rasilimali ZETU ZOTE, Ambazo Mwl. NYERERE Alidhihifadhi!! Alitumia PAMBA, KATANI, KAHAWA, KOROSHO, UFUTA N.k . Kuendesha Nchi, Na Huduma Bora Za Kijamii Zilipatikana!! Shida Ni Nini KWETU Hata Tukiwa Na Almasi, Tanzanite, Dhahabu, Makaa Ya Mawe, Chuma, Ulanga, Gesi, Uranium, Mbuga Za Wanyama, Bahari Yenye Bandari 3, Maziwa Makuu 3, Mlima K/njaro!! Hata Tunazidiwa Kiuchumi Na Nchi Kama Rwanda!!!!!?? ALAFU Leo Miaka 50 Ya UHURU Tukae Kitako Tujisifu Eti Tumepiga Hatua KUBWA Kiuchumi!! Huku Uchumi Huo Haukasi MAISHA Ya Mtanzania!!! Bali Ni Kundi 1 Lililo Na MAMLAKA Ya Kuongoza!! Ikiwa Leo Kuna Wtt Wa Makabwela Wanasoma Wakiwa Ktk Magofu, Chini Ya Miti, Chumba 1 Wtt. 100, Tena WAMEKAA Chini!! ALAFU Mnajadili Mafanikio Wkt. Mama Mjamzito Anaendelea Kufa Kwa Kukosa Huduma Bora Ya Uzazi!!! UPUMBAVU MKUBWA SAAANA HUO!!!