mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Majibu mepesi IMMMA wamejilipua wenye kutafuta umaharufu....teh. Teh...
Hii itakuwa assignment ya kwanza kwa Bwana "mamboleo", kamanda wa kanda muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto ya mchana wasaliti ni wachache sana hapa TZKwa matendo haya, mwisho wa siku bwana fulani atajikuta amebaki na kundi dogo sana la watu wanaomkubali na atakuwa adui wa karibu kila mtu.
Kwani we kakuzawadia cheo gani!?Unawaza ujinga tu, Magu ulishamfanya kama shetani wako kila lawama unampa yeye.
Pia ungepigwa milipuko na Wanyonge Wenye Uzalendo na Nchi YaoHata mm ningekuwa mwanasheria ningewatetea, huo uzalendo mpelekee bibi ako kijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
...front.Fent ford jana si nasikia aliongea na wanafunzi mbona hajatokea kwenye fromt pages
Kwamba anayetetea ACACIA sio mzalendo, lakini aliyeingia nao mkataba wa kufanya wanachokifanya ndiye mzalendo? Hii nchi haishangazi watu wake kuwa na kiwango cha ujinga kilichobainishwa katika matokeo ya utafiti!
hakuna ushahidi wowote wa nani aliye fanya tukio hilo, ya weza kuwa ni mambo ya ndani ya kampuni, kati ya wabia wa imma, au wafanyakazi au maadui wao wa kibiashara.Jamaa kashindwa hoja sasa kamua kutuma watu wachome ofisi mimi nashauri JF na luge wasipuuzie hili ni bora waweke ulinzi mkubwa yasije tokea haya ya kuchomewa ofisi naona vijana wa lumumba wamekuja na mpya
Swissme
Amina, Kila la heri na Mungu wako wa chini ya Mbuyu.
Mkuu, mi business Man, napenda kuwa fair chuki za kijinga jinga sinaKwani we kakuzawadia cheo gani!?
Ninachojua kuna Mungu wa MbinguniAmina, Kila la heri na Mungu wako wa chini ya Mbuyu.
Lakini tafsiri yake inafahamika alikuwa anamaanisha nini. Sio kisiasa kama wengine walivyomezaShetani siku zote anataka kila mmoja awe kama yeye na kuishi kama yeye!
Māğýfool ashawahi sema anataka watu wa aina flani waishi kama mashetani...
sasa huyu wa chini ya mbuyu nahisi ndio wako umekaba sheria zake 100%Ninachojua kuna Mungu wa Mbinguni
Ila hakuna Mungu wa chini ya mbuyu ila kuna mungu wa chini ya mbuyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka tukupe wew auUnawaza ujinga tu, Magu ulishamfanya kama shetani wako kila lawama unampa yeye.